Airtel wapandisha gharama

Airtel wapandisha gharama

wakuu Zantel ikoje...naona hawa Airtell siku zao zinahesabika...
 
Ila bado wako chini, ngoja kesho nikapate line yao hawa VODA wanaua sana, Tigo ndo kabisa wanakupa gharama nafuu lakini ukipata net unanyoosha mikono kushukuru

sure,nimeuona upuuzi wa tiGO kama siku 2 hivi hapo nyuma,juzi usiku na kuna siku ilitokea.,nikajiuliza,mbona browsing ndo kila siku hivi hivi tatizo nini???
Bt voda nilishaivunja laini yao zaman sana,iliwah kunitokea kama mara 2 au 3,najisajili kwa wiki,within 5 minutes bando kwishney,khaaaa
 
Sasa mie nina hama kabisa kwenye mtandao huo kuna mtandao mmoja sms mwaka mzima bure,kazi yangu sms tu, net ndo hela ila sms bure mwaka mzima, no call sms onlly my future plan
Mtandao upi huo?
 
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB

VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb

Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!

Hata kule hakatwi mtu promotion ishaisha. Soon wanaanza kukata.
 
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB

VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb

Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!

hata voda ni maumivu makubwa,sijui kuna nini?
 
sure,nimeuona upuuzi wa tiGO kama siku 2 hivi hapo nyuma,juzi usiku na kuna siku ilitokea.,nikajiuliza,mbona browsing ndo kila siku hivi hivi tatizo nini???
Bt voda nilishaivunja laini yao zaman sana,iliwah kunitokea kama mara 2 au 3,najisajili kwa wiki,within 5 minutes bando kwishney,khaaaa
siku hizi wanaigana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom