Ila bado wako chini, ngoja kesho nikapate line yao hawa VODA wanaua sana, Tigo ndo kabisa wanakupa gharama nafuu lakini ukipata net unanyoosha mikono kushukuru
wakuu Zantel ikoje...naona hawa Airtell siku zao zinahesabika...
Mtandao upi huo?Sasa mie nina hama kabisa kwenye mtandao huo kuna mtandao mmoja sms mwaka mzima bure,kazi yangu sms tu, net ndo hela ila sms bure mwaka mzima, no call sms onlly my future plan
Bora airtell, voda walifanya nitake kuitupa simu yangu, najui mbovu kwenye net
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB
VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb
Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB
VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb
Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!
Ila sio mbaya bora ilimradi dakika zao hazina mipaka
Ila sitachoka kutafuta penye unafuu!
Bora airtell, voda walifanya nitake kuitupa simu yangu, najui mbovu kwenye net
kwenye barua wajanja wanafungua na kusoma halafu wanaifunga tenaTurudi kutuma barua tuu kwa njia ya posta
siku hizi wanaiganasure,nimeuona upuuzi wa tiGO kama siku 2 hivi hapo nyuma,juzi usiku na kuna siku ilitokea.,nikajiuliza,mbona browsing ndo kila siku hivi hivi tatizo nini???
Bt voda nilishaivunja laini yao zaman sana,iliwah kunitokea kama mara 2 au 3,najisajili kwa wiki,within 5 minutes bando kwishney,khaaaa