traceman
Senior Member
- Dec 28, 2013
- 148
- 20
Aisee, Leo nimeshtushwa sana na bundle za Airtel. Nimezoea weka bundle za wiki kwa Tsh.6000 na zaidi ni hiyo 2GB.
Sasa Leo nakuta Tsh.6000 napata 500MB:A S 13: Jamani!!
Sasa basi kihesabu/Kiuchumi, 2GB kwa wiki ni sawa na 285mb kwa siku.:hand:
Ukiweka kila siku bundle ya Mb250 kwa Tsh.850, unakuwa palepale. Utatumia Tsh.5950 na utapata 1.75GB
Au weka kila siku bundle ya Mb300 kwa Tsh 1000, Utatumia Tsh.7000 na kupata 2.5GB.
Sawa na kusema:
Airtel wameongeza Shs. 1000 na kuongeza Mb100 au wamepunguza mb250 na kutoa Tsh.50.:A S 112:
Sasa basi waturudishie bundle yetu ya wiki kwa shs.7000 kwa 2.2GB, Tuwe pamoja. Hii itapunguza usumbufu tu. :sad:
Tuko sawasawa?
Sasa Leo nakuta Tsh.6000 napata 500MB:A S 13: Jamani!!
Sasa basi kihesabu/Kiuchumi, 2GB kwa wiki ni sawa na 285mb kwa siku.:hand:
Ukiweka kila siku bundle ya Mb250 kwa Tsh.850, unakuwa palepale. Utatumia Tsh.5950 na utapata 1.75GB
Au weka kila siku bundle ya Mb300 kwa Tsh 1000, Utatumia Tsh.7000 na kupata 2.5GB.
Sawa na kusema:
Airtel wameongeza Shs. 1000 na kuongeza Mb100 au wamepunguza mb250 na kutoa Tsh.50.:A S 112:
Sasa basi waturudishie bundle yetu ya wiki kwa shs.7000 kwa 2.2GB, Tuwe pamoja. Hii itapunguza usumbufu tu. :sad:
Tuko sawasawa?