Yoel eliud
Member
- Nov 11, 2017
- 28
- 12
Jamani mtandao wa Airtel umekuwa tatizo kwa watumiaje hasa kwenye suala la huduma,
Yaani sijui wanakwama wapi mtumiaji unakuta ninatizo na nahitaji msadaa wa customer care napiga 100 kama kawaida lakini unaskiliza tu maelezo ya computer na kuku bonyezesha mi namba baada ya hapo wanakata simu sasa sijui wanakuwa wanataka msaada niupate wapi?
INABIDI WATUAMBIE SEHEMU YA KUPATA MSAADA
Yaani sijui wanakwama wapi mtumiaji unakuta ninatizo na nahitaji msadaa wa customer care napiga 100 kama kawaida lakini unaskiliza tu maelezo ya computer na kuku bonyezesha mi namba baada ya hapo wanakata simu sasa sijui wanakuwa wanataka msaada niupate wapi?
INABIDI WATUAMBIE SEHEMU YA KUPATA MSAADA