Airtel 4G ni majanga, network inasuasua sana.Airtel ni majanga hasa, vifurushi vyao ni Rafiki sana, nawapongeza kwa hilo but ukweli hawana customer care kabisa kulinganisha na VODA, niwahama VODA baada ya wao kua wanakata PESA zangu bila sababu za msingi ingawa wale mabinti wa customer care wanaongea vizuri kweli, hata kama ume paniki vipi still watakufurahisha but niliamua kuachana na VODA, Airtel network ya internet inasumbua mno na ukiwapigia customer care ndio kama ulivyo sema, badirikeni aise, kwanza tuna share mjue na nyie
Sheikh haraka ya wapi? Andika vizuriJamani mtandao wa airtel umekuwa tatizo kwa watumiaje hasa kwenye suala la huduma, yan sijui wanakwama wapi mtumiaji unakuta ninatizo na nahitachi msa wa customer care napi no 100 kama kawaida lakini unaskiliza tu maelezo ya computer na kuku bonyezesha mi namba baada ya apo wanakata simu sa sjui wanakuwa wanataka msaada niupate wapi? INABIDI WATUAMBIE SEHEMU YA KUPATA MSAADA
Uliza salio vocha ishaingia hiyomm nimepewa saa moja mbele vp ukoo?