Airtel nao wale wale, hakuna afadhali

Airtel nao wale wale, hakuna afadhali

tian

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2007
Posts
1,770
Reaction score
538
Vifurushi Vyote(*149*99#,*149*81#) Vimeshushwa Mpaka 10MB,Isipokuwa Kile Cha OMG
Hili Ni Shinikizo Ama Nini?
 
Kwenye *149*81# MB zimeshushwa sana. Kwa mfano Cha Wiki kutoka 1 GB mpaka 70 MB. Anyway! Nitaacha kuchusha mafaili. Mungu asaidie dakika na sms zisishuke, pia Mb zisishuke zaidi.

Je huko OMG nafikaje??
 
Kwenye *149*81# MB zimeshushwa sana. Kwa mfano Cha Wiki kutoka 1 GB mpaka 70 MB. Anyway! Nitaacha kuchusha mafaili. Mungu asaidie dakika na sms zisishuke, pia Mb zisishuke zaidi.
Je huko OMG nafikaje??

*148*88#
 
Yaani hakina tofauti lati ya Mzuka ma Kibwengo, wotw ni wale wale .Haiwezekani kutoka Gb 1 hadi Mb 70.Wenzetu wa Kenya na Rwanda wana free wireless internet kwenye miji yao mikuu kama Nairobi na Kigali,sisi ni mwendo wa Mb 8 & 10.Aibuu
 
waliokimbia vodacom,kimbieni na uku sasa....
Bado cjaona mbadala wa vodacom tz wako vizur san kweny customer caring na int speed..icho tu ndo nawakubal voda,sihami ng'o.
 
Pata MB 100 DAKIKA 20 MITANDAO YOTE SMS 500 tumia ndan ya miezi 6 kwa 1000/= tu niPM nikunganishe NI KWA TIGO TU
 
You have no idea. Wana kifurushi cha mia tano unapata 125 Mb, dakika za kupiga mitandao yote pamoja na sms.

Zantel hawana 3G mikoani ni Upuuzi kwa Watu wa Huko... Dar na Zanzibar wanafaidi... ila Nilitumia Siku Moja Nikapiga Customer Care akapokea Mzenji na Kiswahili chake Mi kicheko tu
 
waliokimbia vodacom,kimbieni na uku sasa....
Bado cjaona mbadala wa vodacom tz wako vizur san kweny customer caring na int speed..icho tu ndo nawakubal voda,sihami ng'o.

Airtel bado wapo juu

2.5 GB kwa Tsh 3000 kwa Wiki nzima...
 
Zantel hawana 3G mikoani ni Upuuzi kwa Watu wa Huko... Dar na Zanzibar wanafaidi... ila Nilitumia Siku Moja Nikapiga Customer Care akapokea Mzenji na Kiswahili chake Mi kicheko tu

Sisi Songea IPO 3G ya zantel!
 
Airtel bado wapo juu

2.5 GB kwa Tsh 3000 kwa Wiki nzima...

Mkuu RGforever unajiungaje hicho kifurushi cha Airtel? saidia pia kama unajua jinsi ya kujiunga vya bila kikomo vingine vya siku tafadhali natakuliza shukrani
 
airtel iko poa ila mie leo nimeitoa kwasabu ya gps kt jiwasha..charge haimaliz siku bhanaa
 
Mkuu RGforever unajiungaje hicho kifurushi cha Airtel? saidia pia kama unajua jinsi ya kujiunga vya bila kikomo vingine vya siku tafadhali natakuliza shukrani

Unapiga *148*88#.. Bila Kikomo ipo Vodacom , airtel sijaiona huku... ila kuna OMG USIKU. sh Mia 400 Code ni hiyo hiyo
 
Tutaanza kuwa na line nyingi kama zaman, nimetoka Tigo nikaenda Voda, nimetoka voda mpaka Airtel sasa naenda Zantel,,,
 
Back
Top Bottom