new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 815
- 1,713
Nashukuru naishi karibu na chuo... Nafaidika na offer za university za tigo...*148*01*20#
voda mwisho mkuu..naporomosha games hapa za 12gb fasta tu
Nashukuru naishi karibu na chuo... Nafaidika na offer za university za tigo...*148*01*20#
airtel iko poa ila mie leo nimeitoa kwasabu ya gps kt jiwasha..charge haimaliz siku bhanaa
Airtel bado wapo juu
2.5 GB kwa Tsh 3000 kwa Wiki nzima...
Hamieni Smart Mtandao Mpyaa mtachekelea Wenyewe
Zantel hawana 3G mikoani ni Upuuzi kwa Watu wa Huko... Dar na Zanzibar wanafaidi... ila Nilitumia Siku Moja Nikapiga Customer Care akapokea Mzenji na Kiswahili chake Mi kicheko tu