simba wa dodoma
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 925
- 1,010
Week moja iliyopita nilinunua umeme kupitia airtel money cha ajabu mpaka leo sijapata meseji hela yangu wakaiba elfu 10 ukiwapigia huduma kwa wateja hawapokei simu.
Jana tena nimelipia kingamuzi hela wamekata ila kingamuzi hakijaanza kufunguka ukiwapigia hawapokei nimejaribu kuwapigia huduma kwa wateja wa dstv wanasema hela haijafika kwenye account ila kwenye salio langu wamekata.
Huu mtandao ushakua wa wizi kabisa ndugu zangu msijaribu kuutumia mtaibiwa hela zenu sio salama kabisa na hawana no ya kuongea huduma kwa wateja.
Serikali kupitia wizara yenye dhamana shughulikeni ili tatizo wananchi wanaibiwa fedha zao hivi hivi.
Naambatanisha na baadhi ya watu wengine wakiendelea kuwalaaumu kwenye page zao.
Jana tena nimelipia kingamuzi hela wamekata ila kingamuzi hakijaanza kufunguka ukiwapigia hawapokei nimejaribu kuwapigia huduma kwa wateja wa dstv wanasema hela haijafika kwenye account ila kwenye salio langu wamekata.
Huu mtandao ushakua wa wizi kabisa ndugu zangu msijaribu kuutumia mtaibiwa hela zenu sio salama kabisa na hawana no ya kuongea huduma kwa wateja.
Serikali kupitia wizara yenye dhamana shughulikeni ili tatizo wananchi wanaibiwa fedha zao hivi hivi.
Naambatanisha na baadhi ya watu wengine wakiendelea kuwalaaumu kwenye page zao.