Tareman
Member
- Jun 3, 2019
- 53
- 33
Huu mtandao wa Vodacom kwa sasa naona umekuwa na system za kutuibia wateja wake kwenye upande wa salio la kawaida.
Nimekuwa na changamoto katika mtandao huo takribani miezi kadhaa yaani kila nikiweka salio wananikata Tsh 200/=, bila taarifa yoyote.
Nimewasiliana nao mara kadhaa lakini sijapata hitimisho, leo tarehe 17/08/2023 saa4 asubuhi hii ndio wamenikomesha baada ya kuweka Tsh 2000/=, wamekata Tsh 400/=•
Nikijaribu kuwasiliana nao wanasema tupigie baadae hiyo baadae wanasema system zetu bado hazipo sawa tupigie tena baadae, umekuwa ni usumbufu mkubwa mno.
Kwa kifupi hawa Vodacom wameniibia salio langu kwa muda mrefu mno, nimechoka na sihiitaji tena kuutumia huo mtandao ni wizi mtupu unaoendelea.
Chukueni Tahadhali.
Nimekuwa na changamoto katika mtandao huo takribani miezi kadhaa yaani kila nikiweka salio wananikata Tsh 200/=, bila taarifa yoyote.
Nimewasiliana nao mara kadhaa lakini sijapata hitimisho, leo tarehe 17/08/2023 saa4 asubuhi hii ndio wamenikomesha baada ya kuweka Tsh 2000/=, wamekata Tsh 400/=•
Nikijaribu kuwasiliana nao wanasema tupigie baadae hiyo baadae wanasema system zetu bado hazipo sawa tupigie tena baadae, umekuwa ni usumbufu mkubwa mno.
Kwa kifupi hawa Vodacom wameniibia salio langu kwa muda mrefu mno, nimechoka na sihiitaji tena kuutumia huo mtandao ni wizi mtupu unaoendelea.
Chukueni Tahadhali.