Airtel Money leo mmeyumba

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,709
Reaction score
35,712
Nimefanya miamala kadhaa hakuna meseji inarudi ila hela mmekata.

Kuna mtu nimemtumia 5000 imeingia kimyakimya.

Sasa hii laki nimetoa kwa wakala naipataje na nina haraka zangu.

Wakala haoni meseji na mimi sioni meseji ila hela mmekata.

Nipo stranded napoteza mda kusubiria meseji irudi na nina matumizi ya msingi.

Namba ya huduma kwa wateja pia haipatikani.

 
Hameni huko ni miyeyusho
 
Huwezi amini NBC nimeenda wamenipa 5k[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ATM imekata salio hapa jirani.


Acha tu niende mjini
Haya mamitandao ya money transfer yamekuwa na shida sana voda week 2 nyuma ilileta miyeyusho balaa
 
Airtel money wamenitia hasara hawa washenzi nilikuwa najiunga kifurushi kinagoma, nikajiunga mara tatu huku wasema service unavailable baadae wameniunga mara zote tatu. Shame to you Airtel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…