Wiki iliyopita nikitokea Dar kuelekea Nairobi na ndege ya asubuhi sana (inaondoka Dar around saa kumi usiku), Kutokana na matatizo ya mawasiliano (Nairobi) ndege nyingi zilizokuwa zinaelekea huko, zilichelewa na nyingine kama Turkish airline iliyoruka kuelekea huku ilibidi irudi Dar.Ndege yetu ilichelewa zaidi ya masaa mnne, tukabaki tunaangaliana tu pale Airport...,
Leo hii nipo hapa Dubai transit, Wireless internet connection iliyopo hapa imeniwezesha kuendelea kufanya kazi zangu ndogo ndogo na ku-catch up on what's going on.., hivyo pinch ya kusubiri connection yangu kuwa ndogo.<br>Nadhani sasa muda umefika wa Airport nyingine kuweka Wireless Internet connection ya BURE, kwa abiria wao wanapokuwa transit ili at least kuwafanya waururahie muda wao wa kusubiri connection zao.
Na hii nadhani liwe jukumu la Airport authority kuhakikisha huduma hiyo inatolewa either na wao wenyewe au kampuni za ndege,. maana katika kiwanja chetu cha "Kimataifa" cha ndege hata hiyo ya kulipia hamna.
Leo hii nipo hapa Dubai transit, Wireless internet connection iliyopo hapa imeniwezesha kuendelea kufanya kazi zangu ndogo ndogo na ku-catch up on what's going on.., hivyo pinch ya kusubiri connection yangu kuwa ndogo.<br>Nadhani sasa muda umefika wa Airport nyingine kuweka Wireless Internet connection ya BURE, kwa abiria wao wanapokuwa transit ili at least kuwafanya waururahie muda wao wa kusubiri connection zao.
Na hii nadhani liwe jukumu la Airport authority kuhakikisha huduma hiyo inatolewa either na wao wenyewe au kampuni za ndege,. maana katika kiwanja chetu cha "Kimataifa" cha ndege hata hiyo ya kulipia hamna.