instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 343
Aliposhindwa kutabili jengo lake likaua watu basi imedhihirisha utapeli wake wa hali ya juu
Mganga hajigangi
Aliposhindwa kutabili jengo lake likaua watu basi imedhihirisha utapeli wake wa hali ya juu
una mawazo mgando kama akili hulamizimishwi kuamini utabiri wake wewe endelea kuwaamini hao waganga wenzakohahahaha lile tapeli la kinigeria ? hovyo kabisa mtabiri bora ni ndoto zako tu usiku umelala siyo TB Joshua
bora mlemavu wa kiungo kuliko mlemavu wa akili kama wewe .Huyu ni mpumbaffu na tapeli na wote wanaomuamini hawana tofauti nae.
leta ushahidi acha porojo za kitotoTapeli tu.
kama unasoma biblia fuatilia kilichomkuta ayubu, don't be stupid
Pia tumia akili,tofautisha dhana ya unabii endelevu wa joshua na unabii unaoweza kupewa mtu kwa ajili ya kazi maalumu au tukio maalumu moja!!Ukumbuke hata mapepo pia yana uwezo wa kuona future!!
Mkuu mueleweshe taratibu sio lazima umtukane hata kama hajui stori za Ayubu.
Aliposhindwa kutabili jengo lake likaua watu basi imedhihirisha utapeli wake wa hali ya juu
Ya ubaya tu?Ukisoma biblia manabii wengine walitabiri vitu vya baraka pia,relieving,blessing and prosperous kama ujio wa Kristo na mambo mengine mengi!!Naona kule ukiwa mwanasiasa tu ndo unatabiriwa mema ya nchi!!sifa kubwa ya nabii ya kweli ni anatabiri na yanatokea..
Nauliza tena,kwanini unabii wake unabase kwenye mambo hasi tu?pia hata akiyaombea hayaondoki!Badala yake yakitokea wanabaki kama kushangilia kuwa nabii aliliona na hili!so what!?
Je una mtizamo gani kuhusu huyu mtabiri?
Mbona hata Yesu alitabiri ujio wa watu watakao ua Wakristo wakidhani wanamtolea Mungu ibada?, na imetokea?
Tapeli tu.
Yesu alitabiri juu ya kuanguka kwa mji wa Yerusalemu na maafa yatakayowapata wenyeji na akaulilia, je yalibadilika? Maafa hayakutokea?
Yohana alitabiri ole nyingi za ulimwengu ikiwemo kutokea kwa imani ya "wenye vikofia" katika Ufunuo:13, je imebadilika? Wenye vikofia hawauangamizi ulimwengu?
Yesu alitabiri juu ya kuanguka kwa mji wa Yerusalemu na maafa yatakayowapata wenyeji na akaulilia, je yalibadilika? Maafa hayakutokea?
Yohana alitabiri ole nyingi za ulimwengu ikiwemo kutokea kwa imani ya "wenye vikofia" katika Ufunuo:13, je imebadilika? Wenye vikofia hawauangamizi ulimwengu?
Vipi MWENDAKULIMA, mbona unacheka?
Huyu ni kama Sheikh Yahaya.Aliposhindwa kutabili jengo lake likaua watu basi imedhihirisha utapeli wake wa hali ya juu