Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,905
Nimeangalia ruti za Shirika letu sijaona Dar-Nairobi, kuna sababu yoyote ya msingi labda ? Kwani hiyo ruti kwa maoni yangu ni nzuri hata kwenye mambo tu ya utalii, mfano kuna mashirika mengi makubwa ya ndege hayatui Dar lakini yanatua Nairobi halafu Kenya airways inaleta abiria mpaka Tanzania, sasa kwanini hatuendi huko?