Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mbona nilisikia. ATCL ni marufuku kukagukiwa na CAG??? Ati amri kutoka juu!!!
hasara taslimu kwa inchi
Zitto hajui namna uwekezaji mkubwa kama ATCL unavyotengeneza faida......... anadhani faida inapatikana mwaka wa kwanza?...........bure kabisa msomi huyu kutoka pale jalalani!
number haidanganyi ewe mtu wa lumumba ni jambo la muda wewe bembeleza mkate wako mkono uende kinywani. kama ni kweli ukweli utajulikana kama ni uwongo nao utajulukana tu sina haja ya kusifia mtu yeyete awamu hii.Huyu ZZK ni kibaraka tu, anapambana kumkatisha tamaa Rais wetu JPM..
ATCL inapiga kazi balaa, inajaa kila siku na imeongeza route za kutosha na Watanzania sasa wanapanda ndege kwa wingi..Zinaleta watalii wakutosha, Juzi tu zimepata mkataba wakuleta watalii kutoka Israeli.. Twiga yuko angani hawa CDM na ACT hawapendi tu maendeleo ya Taifa letu..
haya ni "majuha" ya ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Beberu mkubwa weee !!! watu tunasubiri Gawio wewe unaleta mambo ya hasara hapa !