Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,514
- 23,696
- Thread starter
- #21
Ila ungekua na hicho kitambi cha wala rushwa, ungetisha sanaNjoo uchukuwe tena chote chote

Ila ungekua na hicho kitambi cha wala rushwa, ungetisha sanaNjoo uchukuwe tena chote chote

Hebu tupia picha tukione, halafu waungwana wakichambue kwa umakinimbona changu hakipo??

Nliogopa kuwekwa kwenye kikaango, ikabidi niwapoze kwanza wasomaji mkuuNimecheka sana jinsi ulivyosherehesha utangulizi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Akhaaaaa sikitaki, na hichi kitambi mchuchumio kama unakitaka ukifuate tuuIla ungekua na hicho kitambi cha wala rushwa, ungetisha sana![]()
![]()

Life is so short mkuu, lets smile and laughHa! Ha! Ha!

umenipenda kumbe hiyo ni picha yangu binafsi
Asante sana
hahahahahahaha, funzadumeAkifukuzwa kazi chenyewe kitaisha hicho![]()
![]()
Mie changu ni mtepeto.Hujafunguka chako madame![]()
![]()
nasubiri kwa hamu ufunguke
Samahani mkuu kama imakugusa hii nyuzi.KUNA VITAMBI VYA PESA NDIO VINGI NA MSOSI NA HANA MSONGO WA MAWAZO UKIWA NA MSHIKO KITAMBI KITAKUJA TU PILI POITI YAKO YA KUFANYA MAZOEZI ETI KUTOA KITAMBI SIO KWELI WENGINE WANAFANYA MAZOEZI NI WEMBAMBA MAZOEZI NI KUKUFANYA WEWE UWE FIT MWENYE AFYA NJEMA WEMBAMBA KAMA WEWE WATU WANAKUOGOPA LABDA UMEUKWAA AU NJAA
Namba 5, Mkuu !Namba ngapi imekukosha mkuu?![]()
![]()
![]()