Aina za majini na kazi zake

Aina za majini na kazi zake

Ukweli utabaki pale pale ,hakuna binadamu yeyote duniani anaeweza kum ~isolate na kum ~visualize jini au mapepo hata wewe huwezi kamwe.Roho ni fikra kusadikika au mawazo huwezi kwenda maabara yeyote ukatoa roho na kuonyesha.Vivyo hivyo huwezi kwenda maabara ukalitoa jini au mapepo na ukaonesha kwa macho au kwa darubini kali (electronic microscopy.) Roho au majini ni imani tena imani inayokaa kama attitude (Fixed false indies ) Hewa kama oxygen na hydrogen huwezi kuziona kwa macho lakini ukienda maabara utazibaini na ukiziunganisha pamoja unapata maji papo hapo na utayaona kwa macho na ukitaka unayanywa.Wanasayansi waliobobea kama Wamarekani hawaishi kwa imani ya majini kwa sababu vitu hivyo havipo " physically na spiritually."Lakini watu kama Waarabu kwa kiwango kikubwa wanaamini mambo ya majini kwa sababu ya elimu ndogo juu ya sayansi kwa ujumla.
Hapana bado nataka kupingana na wewe hasa kuhusu roho...hata hao wanasayansi waliobobea wameshindwa kabisa ku capture kitu kinachoitwa Roho
Pili si kweli kabisa kuwa wazungu hawaamini na kuabudu ushirikina majini mapepo n the like, wenzetu kule wana mpaka vyuo maalum vinavyotambulika wana projects nyingi sana wana sinema wana mabandiko na vitabu vingi sana kuhusu haya mambo
Soma kuhusu
-The Blair witch project
-The haunted houses
-Ghosts n souls
Hii ni mifano michache mno ya kuonyesha ushiriki wa wazungu kwenye dunia ya kiza na ndio hawa pekeyao walioweza kuigiza kwa usahihi zaidi kwenye picha zao
 
Hizi picha za majini ulizozionesha za SUBIANI na zingine zinafafana na wanadamu halafu katika ufafanuzi mwingine ukageuka ukadai majini ni ROHO na hayaonekani.Sasa hizo picha za majini ulizotoa humu kama kiambatanisho ni nani alieziona na kufaulu kuwapiga picha.? Imani ya majini ni aina fulani ya utapeli unafanywa na waganga wa kienyezi na mashekhe ili kukidhi mahitaji yao.Hata wale wanaotafsiri lugha za majini kwa wale wanaopandisha ni matapeli yaliyokubuhu.Watu hukaa pembeni mwa mgonjwa wakiamini kabisa ndani ya mgonjwa huyo kuna jini linaongea lugha ngeni ambayo hutafsiriwa na mtaalamu maalumu.Kwa ujumla mambo yote hayo .ni utapeli wa kupindukia na yanawezekana kutendwa na jamii ya watu wenye elimu duni.Nina mashaka na mtoa mada hii ya majini alikuwa na nia ya kujitangaza ili baadae watu wamfuate kwa lengo la kuwaondolea majini ili ajipatie kipato.
 
Hizi picha za majini ulizozionesha za SUBIANI na zingine zinafafana na wanadamu halafu katika ufafanuzi mwingine ukageuka ukadai majini ni ROHO na hayaonekani.Sasa hizo picha za majini ulizotoa humu kama kiambatanisho ni nani alieziona na kufaulu kuwapiga picha.? Imani ya majini ni aina fulani ya utapeli unafanywa na waganga wa kienyezi na mashekhe ili kukidhi mahitaji yao.Hata wale wanaotafsiri lugha za majini kwa wale wanaopandisha ni matapeli yaliyokubuhu.Watu hukaa pembeni mwa mgonjwa wakiamini kabisa ndani ya mgonjwa huyo kuna jini linaongea lugha ngeni ambayo hutafsiriwa na mtaalamu maalumu.Kwa ujumla mambo yote hayo .ni utapeli wa kupindukia na yanawezekana kutendwa na jamii ya watu wenye elimu duni.Nina mashaka na mtoa mada hii ya majini alikuwa na nia ya kujitangaza ili baadae watu wamfuate kwa lengo la kuwaondolea majini ili ajipatie kipato.
Hebu watafute hawa ndugu wawili wakupe elimu ya majini
1. Safari _ni _safari
2. jichawi
3. Mzimu wa Kolelo
Sifanyi uganga wala siagui watu...ingekuwa ni ishu ya kujitangaza ili nipate wateja ningeshafanya hivyo siku nyingi
Kama ungesoma kwa makini mpaka mwisho wa post yangu kamwe usingeongelea ishu ya mimi kujitangaza ili nipate wateja
 
Dah!kuna rafiki yangu wa utotoni huyo aliishia la tatu kwa utukutu alikuwa hajambo sasa akaja kukumbwa na vitu hivyo hapo tumeisha kuwa na umri aliugua sana kenda muhimbili ugonjwa hauonekani ikabidi wapinduke upande wa pili duh akaambiwa ana jini la kizungu eebwana likipanda kwanza kabisa anatakiwa avae suti kisha inaletwa whisky anapiga tarumbeta linamwaga ung'eng'e hapo linacheka baadae linaaga na kuondoka cha ajabu akizinduka anakuwa mchovu lakini hajalewa wala harufu hana hii nayo mshana ikoje?
 
Kama jini Murafari anapita huku apate ujumbe awaachie kidogo raia maana nina imani wengi wanalo.
 
Ukweli utabaki pale pale ,hakuna binadamu yeyote duniani anaeweza kum ~isolate na kum ~visualize jini au mapepo hata wewe huwezi kamwe.Roho ni fikra kusadikika au mawazo huwezi kwenda maabara yeyote ukatoa roho na kuonyesha.Vivyo hivyo huwezi kwenda maabara ukalitoa jini au mapepo na ukaonesha kwa macho au kwa darubini kali (electronic microscopy.) Roho au majini ni imani tena imani inayokaa kama attitude (Fixed false indies ) Hewa kama oxygen na hydrogen huwezi kuziona kwa macho lakini ukienda maabara utazibaini na ukiziunganisha pamoja unapata maji papo hapo na utayaona kwa macho na ukitaka unayanywa.Wanasayansi waliobobea kama Wamarekani hawaishi kwa imani ya majini kwa sababu vitu hivyo havipo " physically na spiritually."Lakini watu kama Waarabu kwa kiwango kikubwa wanaamini mambo ya majini kwa sababu ya elimu ndogo juu ya sayansi kwa ujumla.

Vizuri Umesema "wanasayansi walio bobea"
Je vile vitabu Na sinema zao za uchawi Na mashetani wamehadithiwa Na Waarabu ?
 
Nadhani haya anayofanya ni elimu nzuri na si dhambi kuijua na ndio maana Mwenyezimungu katika kitabu chake kitukufu akatuletea sura nzima sura til JINN ili tuwajue, vizuri tabia zao na makosa n.k., hata wewe ulijua kama walilaaniwa sabab Qur'an imekwambia, kwahiyo kuwafahamu kwa undani si dhambi na wala hakuna ubaya, Na aliekwambia kama wote wachafu ni nani?? TAFUTA SHEIKH AKUFAFANULIE Kuna aya inasema "Sikuwaumba majini na watu ila tu waniabudu" kwa taarifa yako kuna majini wanamuabudu Mwenyezimungu na kumuogopa na wapo majini wataingia motoni na wa peponi watakuwepo, NA NI NANI AMEKUDANGANYA KUNA SHETANI, kuhusu ushetani hata binadamu anaweza kuwa shetani kuna mipaka sisi binadam na majini tukivuka tunaingia kweney ushetani, shetani si kiumbe kama uanvyodhani, SHETANI HATA WEWE WAWEZA INGIA KWENYE USHETANI KUTOKANA NA MAASWI UTAKAYOFANYA, Jini ni kiumbe kama sisi ameumbwa na atapotea, na wataingia motoni na wapo wa peponi, Enzi za Mtume Mohammed (S.A.W) Alikuwa anakaa akiwafundisha Qur'an na kuwaslimisha (TAFUTA SHEIKH UKAMUULIZE KUHUSU HILI) Na je Nabii Sulyeiman je umati wake ulikuwa ni wakina nani? Na alipewa uwezo gani? Hii ni Elmu kama ELIMU NYINGINE UKIONA HAINA MANUFAA KWAKO, IPOTEZEE, ILA SIDHANI KAMA KUNA UBAYA UKAWAJUA ZAIDI TABIA ZAO HAO WA UPANDE WA PILI, MANA SI DHAMBI KUWAJUA.

Naam asmaa80 umeeleza vizuri sana tu.
Na Kwa zaidi ukienda YouTube yuko sheikh KONDO BONGO history ya majinn.
 
Hakuna haja tena ya kutoa tafsiri ya majini kwakuwa tayari tumeshalidajili hili kwenye post iliyopita kwamba majini ni viumbe roho waliofukuzwa toka mbinguni na kutupwa ulimwengu wa giza.

Mada hii ni maalum kwa ajili ya kutambua aina za majini na kazi zake
Kuna wakati katika jamii unaweza kumshangaa mtu au hata kugombana naye kutokana na tabia zake na mambo yake huyu si wa kulaumu sana saa nyingine si yeye bali ni jini, hata hapa JF tunao wengi tuu.

Kimsimgi wapo majini tofauti tofauti zaidi ya 60 lakini kazi zao kwa sehemu kubwa zinaingiliana hivyo nitaweka baadhi tu ambayo kwa kiasi kikubwa ndio hubeba mambo mengi fuatana nami.

1. SUBIANI - hili ni jini linalosababisha ajali na lenye kuzuia hedhi kwa mwanamke, lina penda sana damu hasa hiyo ya hedhi.

View attachment 342303

2.MURAFARI- hili ni jini la kuzuia mafanikio ya kimaisha kielimu na hata kipato, ukitupiwa hili jini utahangaika sana na maisha.

3.LATIFU- jini la mateso ufukara na matumizi ya hovyo unakuwa ni mtumwa wa kupata kupoteza na kutumia bila tija.

4.JAHARI-jini jizi la biashara, unafanya Sana biashara lakini huoni ustawi wala mafanikio yoyote.

View attachment 342305

5.HASINANI- Jini la fujo ulevi wa kila aina bhangi sigara madawa pombe nk

6.JUBE- Jini la utasa, hili unaweza kutupiwa tu na mbaya wako au ukiwa mtoa mimba au mpiga puchu mahiri.

7.RUYATI- ndoto mbaya, ukiacha ndoto maono au ndoto ujumbe , hizi ndoto za kutisha husababishwa na jini ruyati.

8.TAJARUNI-hili ni la utajiri wa masharti ya kutoa kafara la ndugu na kufanya ngono na mzazi au mwanao.

9. WAIDADAT- jini linalomfanya mwanaume aige mambo yote ya kike kuanzia tabia mpaka mavazi.

View attachment 342307

10. ALIBADIRI- Ukitupiwa hili kwa sababu yoyote ile hasa kutenda uovu huponi.

11.ANZURA -kuzuia ndoa hasa kwa wanawake, utakuta binti mzuri kakamilika kila idara lakini anaishia kuposwa tuu.

12.MAIMUNA- jini mfarakano wa kuleta magomvi kwenye ndoa hatimaye kuvunjika.

13 . MAKATA- Jini makata ni noma hili likiingia kwenye familia au ukoo basi vifo vitafululiza mpaka mbaki wachache kabisa.

View attachment 342306

14.TARIK- jini hili hufarakanisha marafiki watu wanaofanya biashara pamoja kwenye vyama nk nk..likishaingia mahali hili lazima kinuke.

15. JINI WIVU KIJICHO NA ROHO YA KWANINI-hili bwana hili popote litakapoona new post ni mtu fulani sikilizia mashambulizi yatakayofuata.

[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Katika mambo yote hayo hakuna jini lolote linalofaidika na chochote bali kumletea shida mwanadamu ili afarakane na mola wake
Kumbuka kuna majini ya kutupiwa kutumwa na yale yanayofanya kazi yenyewe kwa utashi wao.

==========================
NB: Picha zimewekwa ili kuleta uhalisia zaidi ingwa zinaweza zilihusiane moja kwa moja na Majina ya viumbe hawa.
Allah - Madhalim and lier.png
 
Mkuu uko vizuri sana.
Huwa nashangaa binadamu anayemkingia kifua jini eti kuna nini kwema. Jini= shetani na maraika zake.
 
jinn
jin/
noun
  1. (in Arabian and Muslim mythology) an intelligent spirit of lower rank than the angels, able to appear in human and animal forms and to possess humans.
No Jinn in Christianity all are combined in one bucket as demons
Argument.png
 
Mkuu uko vizuri sana.
Huwa nashangaa binadamu anayemkingia kifua jini eti kuna nini kwema. Jini= shetani na maraika zake.
.....hwa wameumbwa au wamejiumba (yaani wamezuka tu !) ? wanajidhibiti au yuko anaye wadhibiti !?
 
.....hwa wameumbwa au wamejiumba (yaani wamezuka tu !) ? wanajidhibiti au yuko anaye wadhibiti !?
Mkuu history ya jinn inaenda beyond Islam hadi kipindi cha tradition Arabs inavuka kidogo hadi kwa walmenia.
Huku ndio utakuwa facts na origin ya neno jini kabla halijawa defined kW mifumo ya kiimani.
Archeological na historical evidence zinaonyesha neno jini au origin yake ni wakristo walikuwa wanalitumia kumaanisha pepo wachafu na miungu ulivyokuwa inaabudiwa na kumilikiwa na Waarabu wachache na waalmenia. Hii ilikuwa miaka mingi kabla ya kuanza kutumika katika mifumo ya kiimani.
Ask history has answer of all your problems.

Kitabu cha imani kinamtambua ibris kama jini muasi wala sio malaika wakati bibilia na history before kitabu cha imani vinaonyesha shetani au ibris ni malaika muasi. Hakuna third-party inaoyitwa jinn,

Kaa utulie ujifunze kwa unyenyekevu.
Mungu hakuumba Shetani na malaika wachafu, Mungu aliumba Lucifer na Maraika wasafi. Lucifer alipoasi pamoja na waliomuunga mkono wote ndio hawa mashetani wanaojitambulisha kwa majina mbalimbali.
Wote hawa wamewekwa akiba kwa ajili ya Moto Wa milele.


Karibu tupeane changamoto based on facts sio misisimko. Hakuna mshindi katika hili maana kuamini ni kuchagua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom