Mshana asante kwa taarifa hii,ila itakuwa busara kama utamaliza assignment yako to 99,maana nasikia idadi ya koo za majini ni 99.
Halafu Mshana naomba ufafanuzi,hivi kuna siri gani katika namba 9 au 6,maana Dajjal naye namba yake ni 666,na naona makampuni ya simu nayo siku hizi yanatumia sana namba 9 au 6.Kwa mfano,Vodacom,*149*99#,*149*66#.Na Vodacom hiyo hiyo ukicheki kwa makini utagundua kwamba logo yao ni 6.Airtel wana kifurishi cha Sh.1,999 na hata wao ukicheki logo yao utagundua kwamba ni 9 ya kuzuga.Infact hata kwenye international companies trend hii ipo sana.Kwa nini so much of 9 and 6 and not the other numbers and why now.Karibu Mshana tafadhali nisaidie.