Aina za majini na kazi zake

Aina za majini na kazi zake

Mavitu yako mengi ya kichawi chawi sana,hanni avae,yaani wateamue kabitha iti we uwakwe Shetani,mm.
Shigha avae.. Idhi mburi idhi.. Shigha du avae![emoji2827][emoji2827][emoji2827] Shigha vichike[emoji848][emoji2827]
 
Shigha avae.. Idhi mburi idhi.. Shigha du avae![emoji2827][emoji2827][emoji2827] Shigha vichike[emoji848][emoji2827]
Hii sio lugha ya Kijini kweli hii Profesa Mshana Jr, ?
Mbona ninapoisoma mwili unasisimka kama nimekanyaga Nyoka [emoji1714][emoji3571][emoji3571][emoji3571]
 
Ntapata wap jini namba 10 nmpoteze [mention]Everglow [/mention] [emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa ni msomi, mtaalamu wa umeme alisoma nje akaja na mke wa kizungu lakini ugomvi ukawa hauishi wakatalikiana, sasa hivi kkaoa mke mbondei akapata nae watoto, ila kazi ndio shida, kila anakopeleka cv, hola aliporudi ndio alikuwa bosi wa kiwanda fulani akapewa na nyumba uzunguni na gari juu, ila alifukuzwa kazi na akawa anaishi kwa kuomba omba kashinda kesi ya kupinga kufukuzwa kazi akapata hela akaenda kuchimba madini , mweee! anaona dalili zote ila mashimo ya wenzake yanatoka madini kwake hola, kila siku anaishia kusema dalili nzuri wiki hii yatoka wapi? mpaka kaishiwa, wazee wakamwambia acha kujitia ubishi kwa usomi wako wewe ndie unatakiwa urudi uchukue mikoba, mbona alirudi msomi lakini mganga wa kienyeji dah! maisha haya yanaogopesha sana.
Haya mambo yako kanda za pwani tu huwezi yasikia Uthangi akakotoka Mshana Jr
 
Mshana Jr, ni zaidi ya Jinni.[emoji848][emoji3064][emoji23] Duh..[emoji23]
Ha..ha...[emoji28] kuna mtu alinisimulia kuwa hivyo vijini vilikuwa vitendea kazi vyako tu, hapo zamani.

Ulikuwa unavitumatuma katika kazi zako za utaalamu wa kiroho.

Naskika ulikuwa unamiliki vijini zaidi ya mia moja.
 
Ha..ha...[emoji28] kuna mtu alinisimulia kuwa hivyo vijini vilikuwa vitendea kazi vyako tu, hapo zamani.

Ulikuwa unavitumatuma katika kazi zako za utaalamu wa kiroho.

Naskika ulikuwa unamiliki vijini zaidi ya mia moja.
giphy.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom