mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,045
- 1,503
zipi ni njia za kuya deactivate
NI MUNGU TU - Maombi na imani iliyopindukia kuacha dhambi kabisa
zipi ni njia za kuya deactivate
u better keep quite kwenye mambo yanayo husu mungu usije ukapata laana bure kumbuka we ni mwanadamu tuu huezi mkashfu mungu na kumfananisha na majini this is too much ndugu Mungu hadhiakiwi si mwanadamu .Mungu na akuhurumie akusamehe mana sidhani kama humuheshimu yeye je mwanadamu,change this world tunapita hujui uendako bora ukae kimya kuliko kukosa busara.Huyo mungu wako lord atakuwa ni huyo jini makata!
Mungu anadhihakiwa kila siku ! ....ati kapigiliwa mtini ! mamchuu better keep quite kwenye mambo yanayo husu mungu usije ukapata laana bure kumbuka we ni mwanadamu tuu huezi mkashfu mungu na kumfananisha na majini this is too much ndugu Mungu hadhiakiwi si mwanadamu .Mungu na akuhurumie akusamehe mana sidhani kama humuheshimu yeye je mwanadamu,change this world tunapita hujui uendako bora ukae kimya kuliko kukosa busara.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120]Hahaha hilo ni malaika si jini
Majina ya wenye vizibo mataconi yaliisha !?? kizibo1 ...Kwetu ni 'Mfalme, Chifu, Mtemi, Omukama !' na ni 'kiapo' ........ nikutajia hilo jina/neno kama nimekusudia kitu ujue sirudi nyuma hapo, kama roho au mkund-u wako lazima niondoke nao !Kweli wewe mzoefu...by the way bandiwe kikwetu ni shoga mzoefu kwahiyo umejichagulia jina murua kabisa
Hahahaaaaa hebu sema kweli wewe junya kwenu wapi?Majina ya wenye vizibo mataconi yaliisha !?? kizibo1 ...Kwetu ni 'Mfalme, Chifu, Mtemi, Omukama !' na ni 'kiapo' ........ nikutajia hilo jina/neno kama nimekusudia kitu ujue sirudi nyuma hapo, kama roho au mkund-u wako lazima niondoke nao !