Hahahaa unaamkia mochwari kweli haya maisha tofauti[emoji23].. Ah..!! Ngoja naingia meditation kaka.. Thanks for a company... Tutaonana alfajiri nikitoka mochwari
Jr[emoji769]
Nami nakushukuru sana kazi njema[emoji23].. Ah..!! Ngoja naingia meditation kaka.. Thanks for a company... Tutaonana alfajiri nikitoka mochwari
Jr[emoji769]
Nimepitia tu comments ili nijue kilichoandikwa na Nimefatlia kama umejibiwa kumbe hola
[emoji1][emoji1][emoji1]
Jr[emoji769]
Mshana vp kuhusu ile tabia ya mkoa Mbeya kuchoma moto masoko ya bidhaa? Nimewahi sikia kuwa ni ushirikina, maana miaka ya nyuma kidogo ilikuwa haipiti miaka 3 bila soko kuungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana jamani Mkuu
Unaniuma tuu kaka!Duu kwanini sissy
Jr[emoji769]