monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,634
Mshana Jr, waziri wa utalii wa puetorico aliwai fanya kafara,alifanya ipi ktk hizo ulizotaja ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali kabisaa kaka yangu kipenziUtaniambia basi.. Sio hapa lakini
Jr[emoji769]
walitangulizwa watu kisha ndio ukafuata msingi... Kwahiyo kama kibanda maombi kingekamilika... Waumini wangefanya maombi juu ya wafu
Duhhhhh.
Kafara baya kabisa hi;i.
Mshana katika ubora wake..Naweza kupata mawasiliano yako mkuu? Nina shida ambayo nafikiri unaweza kunisaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi Kati hapa kuna Jamaa ni mfanya biashara alifiwa na mkewe ghafla, maana Mke wake alikua yuko poa tu tena alikua anapiga story na majirani zake kaachana na majini zake SAA mbili usiku karudi kwake ghafla hali ikawa mbaya watu wakachukua gari kumpeleka hospital kufika hospital tu akawa ameshafariki.
Kesho yake SAA nane mchana Mke Wa Jamaa akaenda kuzikwa .
Chaajabu ni kwamba yule muhusika ambaye kafiwa na mkewe hakwenda kuzika na mpaka leo Jamaa hajui kaburi LA mkewe lilipo maana baada ya mazishi walisafiri kupeleka matanga ya msiba kwao,
Mpaka Leo kwao kuna mgogoro ukweni wanataka mtoto wao
Wanasema hajafa
Sasa sijui ndo kafala lenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikuzingua, mloge 😀😀😀😀😀😀Karibu PM lakini naomba mawasiliano yawe kwa ajili ya matumizi sahihi tafadhali
Jr[emoji769]
Asiyeelewa hilo hana akili.Mmh ninini kilimfanya asiende kumzika mkewe? Walikuwa na ugomvi? Kama ni ishu za makafara ni sawa hawezi kwenda kamwe... TB alikwepa kumzika mamaake akakimbilia uswisi
Jr[emoji769]
kigwa baada ya kupata ajali ndani ya mbuga alienda home kufanya mambo kama hayo na akarusha picha kwenye mediaSijafuatilia kwakweli ilikuwa ishu gani?
Jr[emoji769]
Mkuu natamani sana hizo adventure za kufanya kazi mpaka mochwar basi tu sina michongo ya hukoNiko hapa.. Am not faking... Siwezi tu kutuma picha
Jr[emoji769]
kigwa baada ya kupata ajali ndani ya mbuga alienda home kufanya mambo kama hayo na akarusha picha kwenye media
Sent using Jamii Forums mobile app