Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,343
- 859,913
Nilikuwa mmoja wenu nikafika level za juu.. Haikuwa rahisi nilikwepa mitego mingi na kuzishinda changamoto nyingi
Kuna jambo jipya kiasi linajiinua kwa kasi ya ajabu.. Mnahusishwa na mauaji yanayoendelea nchini..
Je mnahusika kweli?
Je mnageuzwa mbuzi wa kafara?
Mauaji ya Katibuni
1. Yule producer aliyeuliwa na mpenzi wake sangoma wa kike
2. Temba aliyetenganishwa kichwa na kiwiliwili.. Kichwa kimepatikana kwa mganga
3. Mfanyabiashara wa Arusha.. Kifo chake kimehusishwa na uganga/mganga
Kuna chama cha waganga wa asili Tanganyika chenye usajili kabisa.. Kinatoa vyeti rasmi kwa wanaokidhi vigezo
Sasa kwenye haya yanayoendelea nchini mbona kiko kimya?
Kijitokeze kitoe tamko. Kiseme neno..! Haki itendeke
Anayehusishwa na ujinga achukuliwe hatua kali ikiwemo kufutiwa usajili... Anayetuhumiwa tu ama kugeuzwa mbuzi wa kafara naye atendewe haki pia...
Mwisho wa siku sote sisi ni watanganyika wengine ni wakuja na wengine ni kenge kwenye msafara wa mamba
Kuna jambo jipya kiasi linajiinua kwa kasi ya ajabu.. Mnahusishwa na mauaji yanayoendelea nchini..
Je mnahusika kweli?
Je mnageuzwa mbuzi wa kafara?
Mauaji ya Katibuni
1. Yule producer aliyeuliwa na mpenzi wake sangoma wa kike
2. Temba aliyetenganishwa kichwa na kiwiliwili.. Kichwa kimepatikana kwa mganga
3. Mfanyabiashara wa Arusha.. Kifo chake kimehusishwa na uganga/mganga
Kuna chama cha waganga wa asili Tanganyika chenye usajili kabisa.. Kinatoa vyeti rasmi kwa wanaokidhi vigezo
Sasa kwenye haya yanayoendelea nchini mbona kiko kimya?
Kijitokeze kitoe tamko. Kiseme neno..! Haki itendeke
Anayehusishwa na ujinga achukuliwe hatua kali ikiwemo kufutiwa usajili... Anayetuhumiwa tu ama kugeuzwa mbuzi wa kafara naye atendewe haki pia...
Mwisho wa siku sote sisi ni watanganyika wengine ni wakuja na wengine ni kenge kwenye msafara wa mamba