Aina za hasira za wanawake

Bibi Yenu Huwa Akikasirika Mimi Nachota Maji Namlaowanisha Hasira Kwisha Tunafungulia Mziki Soukous Star Mama Rhoda Tunasakata Mpaka Mwisho Na Ugomvi Unaisha Hapo Wanawake Ni Akili Tu
ha ha ha.....,!
nimejikuta na Chris.
 
wengine huanza kuwa na kigugumizi na wengine huwa kama vile wamepandisha mapepo.
 
Bado,kuna huyu ambaye akikasikrika hutafuta simu na kuanza kusearch namba za ma ex boyfriend zake na kuanza kupanga miadi ya kufanya uovu kwa nia ya kukukomesha..
Huyu hata mkiachana kuna siku atakupigia simu akakitunuku pindi ataka kasirishwa
 
Kabla sijajibu mimi ni type gani naomba niulize swali. Mbona umeandika kama ke wakati nyuzi zingine unaandika kama me?
 
Ngoja na mimi nioe nione hasira ya mke.sema Mungu anisaidie,ke akinikasirikia naenda kulala gest hata wiki,maana tabia yangu naijua mwenyewe.naweza kumshika shingo
 
Wanatakani kupokea baadala ya kutoa (vijana wanadai kupakatwa)
yaani maombi yangu ya kila siku kwa kizazi changu, Mungu awaepushe kabisa vijana wangu wa kiume kutegemea wanawake
Ohooo God niko serious nakuomba hata sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…