Aina mpya ya wizi jijini Daslam.

Aina mpya ya wizi jijini Daslam.

Maji yana uhusiano gani na dawa ya kupulizia hizi ni Imani tuuu sema tu walikuja mida ambayo haujalala basi.

Kwa maana dawa ipo mfumo wa hewa inasambaaa na maji ndo useme yanafyoza dawa? Ilio puliziwa nn mmmh
Yawezekana dawa ina affinity kubwa na maji, ingekuwa vyema tukaijuwa jina lake
 
Haaaa kijana acha dharau 92kj tushakamata wezi wakutoshaa kama hapo ni special force je vipi kuhusu unit za kawaida?
Mkuu acha masihara hakuna mwizi anaweza kwenda tisa-mbili kuiba aisee
 
hawa wezi wa kutumia dawa walisha sababisha mimi na jamaa yangu kuonekana wezi pia.

maana walipiga vyumba vi 3, tukabaki wa 2 hatujapigwa. kitu kilicho fanya wale waliopigwa kuamini mimi na jamaa tunalichora juu yao.

jamani wezi mkipiga jitahidini mpige vyumba vyote (kwenye nyumba za kupanga). Maana mnatuachia msala wengine(msio tupiga)
 
hawa wezi wa kutumia dawa walisha sababisha mimi na jamaa yangu kuonekana wezi pia.

maana walipiga vyumba vi 3, tukabaki wa 2 hatujapigwa. kitu kilicho fanya wale waliopigwa kuamini mimi na jamaa tunalichora juu yao.

jamani wezi mkipiga jitahidini mpige vyumba vyote (kwenye nyumba za kupanga). Maana mnatuachia msala wengine(msio tupiga)
 
Sasa mkuu hapo unakua unalala chumbani au stoo na mabeseni
Ubishi na ubishoo ndo unawamakiza wanaume wa Dar! Unaelezwa unajifanya u much know!
Yakukuta utahua umeibiwa chumbani au stoo!
 
Back
Top Bottom