Sniper don
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 288
- 471
Hahahaaaa mkuuu utatestia kwa nani??Yaweza kuwa ila siwez kubisha kwa sbb sijajaribu kufanya majaribio yake,
Labda nije nitest siku moja.
Hahahaaaa mkuuu utatestia kwa nani??Yaweza kuwa ila siwez kubisha kwa sbb sijajaribu kufanya majaribio yake,
Labda nije nitest siku moja.
Mwenyewe naweka mabeseni ya maji ndani, harafu namwambia mtu nyunyuzia dawa baada ya mda mfrani njoo aje kuniamsha akiona nimezima au nipo jicho nitapata majibuHahahaaaa mkuuu utatestia kwa nani??
Kwa sisi matajiri wenye madirisha ya vioo unatushaurije?Tahadhali lala chumbani na ndoo beseni lililo na maji wazi chumbani hiyo dawa ya kupulizia haitafanya kazi hiyo mbinu mie imenisaidia sana wameshakuja kwangu mara nne nastukawanaishia kutukana tu
Fuga mbwa weka na walinzi wenye siraha nzito nzitoKwa sisi matajiri wenye madirisha ya vioo unatushaurije?
Mkuu ukatest kwanani?Yaweza kuwa ila siwez kubisha kwa sbb sijajaribu kufanya majaribio yake,
Labda nije nitest siku moja.
Kama kuna jambo hulifahamu, basi sio lazima kuwa halipo duniani.Maji yana uhusiano gani na dawa ya kupulizia hizi ni Imani tuuu sema tu walikuja mida ambayo haujalala basi.
Kwa maana dawa ipo mfumo wa hewa inasambaaa na maji ndo useme yanafyoza dawa? Ilio puliziwa nn mmmh
Inategemea kamanda ziro kaamkaje siku hiyoIvi mtu kama una desert eagle yako ndani na ukamwaga ubongo wa kibaka mmoja ulietoboa na kuzama ndani lakini hana silaha unakua na kesi?
Nilivyo sikia dawa hii wanapulizia dirishani ila ukiwa na beseni au ndoo ilojaa maji iliyo wazi wakipulizia dawa haifanyi kaziSiku hizi hawabomoi na yale mawe makubwa.
Wanakwenda kidigitali zaidi, Wanakupulizia dawa ya usingizi halafu wanatoboa, wanazama ndani kimya kimya, halafu wanaondoka kimya kimmya.
View attachment 907555
View attachment 907557
View attachment 907559
View attachment 907560
ChemistryNi kweli kaka sumu inakua dissolved kwenye maji..na inakua haina madhara
Haaaa kijana acha dharau 92kj tushakamata wezi wakutoshaa kama hapo ni special force je vipi kuhusu unit za kawaida?Wezi wanakujaga mpk kwny kambi ya jeshi?