mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Sana sana,unataka kuchora 7?@mng'ato jina zuri dah!
Sana sana,unataka kuchora 7?@mng'ato jina zuri dah!
hawa wezi wa kutumia dawa walisha sababisha mimi na jamaa yangu kuonekana wezi pia.
maana walipiga vyumba vi 3, tukabaki wa 2 hatujapigwa. kitu kilicho fanya wale waliopigwa kuamini mimi na jamaa tunalichora juu yao.
jamani wezi mkipiga jitahidini mpige vyumba vyote (kwenye nyumba za kupanga). Maana mnatuachia msala wengine(msio tupiga)

beseni la maji unaliweka usawa wa dirisha na pia mwenyewe unapaswa ujimwagie maji usoni hata wakipuliza lori zima chief hudhuriki
BalaaaHataree
Ova
Ha ha ha haaaaa....Inategemea kamanda ziro kaamkaje siku hiyo