hao indirect prostitution wako wengi sana as kipindi hiki cha ukata wa fedha. Wengi wao huwa ni kama washikaji flan hv lakin ikiwa ukimtangazia dau anakubali. Nina mfano wa dada mmoja yuko benk hapo karibia na moroko nlshawah kula kwa namna hiyo alikua mshkaji tu koz nlsoma naye chuo kimoja lakin juz kati nlvyomtangazia dau akakubali mwenywe na cha kushangaza ana jamaa yake kabisa tena