Bado tuu hujarudi home mkuu?Mimi nili nunua Geepas Manual Sub-woofer Kule Algeria ni ya ukweli kaka kitu kinapika Masantula ya kufa mtu Mwaka wa 5 huu .
Bahati mbaya sana sina picture yake hapa ila inafanana kidogo na hii ila yenyewe fupi na nene alafu ina miguu kwa chini, nikirudi home nitachukua screen kwa simu nikuwekee ujaribu kutafuta hapa bongo nadhani zitakuwa zimeshaingia.
Bei ya kibongo bongo itakuwa kati ya 250-350K
Unajiandaa kwenda chuo first year eeh...
Sabufa<sub woofer> nzuri ambayo ukifungulia lazima majirani waende kwa mjumbe ni Sony PMPO 30,000WATTS
Yaani kwa design hii atauuziwa hata ndoo tupu ya Korie aambiwe ndo Sabufa!Sabufa ndo kitu gani tena?
Kuna Lg HX906PAN hii kitu ni nzuri
Inakua na speaker 5 deck yake inachukua all type 3D and blue lays- ni smart tv pia Ina HMDI 2 bila kusahau AUX na USB unaweza sikilizia muziki kwa iPhone/iPod kuna dock pia Ina kua na raha zaidi Kama utakua na WiFi,, Ina sauti nzuri Sana
Mimi nili nunua Geepas Manual Sub-woofer Kule Algeria ni ya ukweli kaka kitu kinapika Masantula ya kufa mtu Mwaka wa 5 huu .
Bahati mbaya sana sina picture yake hapa ila inafanana kidogo na hii ila yenyewe fupi na nene alafu ina miguu kwa chini, nikirudi home nitachukua screen kwa simu nikuwekee ujaribu kutafuta hapa bongo nadhani zitakuwa zimeshaingia.
Bei ya kibongo bongo itakuwa kati ya 250-350K
View attachment 99208
kamanda wajua mtoto wa kike katimka na simu ya ukweli so nimeshindwa pata picha muzuri wacha niweke hizi mbofu mbofu kama zitasomeka kwa mtoa mada
View attachment 99941
View attachment 99939
View attachment 99938
View attachment 99942
View attachment 99943
Weka bajeti yako hapa tukushauri vizuri, maana kila kitu kinaendana na uwezo wako mkuu.Kuna aina nyingi za sabufa zimeingia tz aina ipi ni bora na inadumu wakuu.
SPYMATE hiyo avatar yako imeiacha hoi, bado sijakuona ukinawa bali naona ukidondosha mojamoja tu, vipi?kamanda wajua mtoto wa kike katimka na simu ya ukweli so nimeshindwa pata picha muzuri wacha niweke hizi mbofu mbofu kama zitasomeka kwa mtoa mada
View attachment 99941
View attachment 99939
View attachment 99938
View attachment 99942
View attachment 99943
Natumia Bose, km unatumia kopo la Korie pole!Yaani kwa design hii atauuziwa hata ndoo tupu ya Korie aambiwe ndo Sabufa!
Natumia Bose, km unatumia kopo la Korie pole!
Weka bajeti yako hapa tukushauri vizuri, maana kila kitu kinaendana na uwezo wako mkuu.
Mkuu, nilikuwa namjibu huyo jamaa ila kwa bongo sijui wapi pa kuipata, miye nimeipatatia huku niliko.hivi Bose bongo zinapatikana kweli? original from usa? kama zpo ni bei gani mkuu na ni series ipi.
Kwa hiyo bajeti MKUU lazima Yutong ihusike, original huwezi kuing'oa.bajeti yangu ni 150,000/=
mmm mi naipendaga ya UKAWA Ndio inapiga kelele sanaSabufa aina ya CHADEMA ndiyo inayopiga makelele yabkutosha.
Sabufa ndio mdudu gani?Kuna aina nyingi za sabufa zimeingia tz aina ipi ni bora na inadumu wakuu.