Mambo!
Aisee ni computer [Laptop} gani ambayo ni nzuri kwa maana ya kudumu na muonekano mzuri, na kwa Dar es Salaam ni sehemu gani ninaweza pata ambazo ni original.
computer au laptop zimetengeneza aina mbali kama unavo jua magari japo yote yana tembea.tatizo sio kampuni bali ni computer au laptop gani inayopatikana mazingira yako na mgani inayo weza kuendana na matumizi yako kuendeana na wakati na mfuko wakoMambo!
Aisee ni computer [Laptop} gani ambayo ni nzuri kwa maana ya kudumu na muonekano mzuri, na kwa Dar es Salaam ni sehemu gani ninaweza pata ambazo ni original.
Bila shaka ni Pentium IIMimi nimetumia Dell Mini Latitude 2100 mwaka wa saba sasa kwa mtumizi ya kawaida kabisa sio gaming wala movies unaweza nunua hii.Ni very economical Laptops.
Umeongea ukweli mtupu,Tafuta dell kwa sababu ni computer ambayo ni kawaida sana hata maintenance yake ni ya kawaida sana.
Lenovo imenikera kitu kimoja. Zipo lenovo ambazo RAM zimechomelewa kwenye motherboard, Battery ipo ndani mpaka ufungue laptop nzima ndio utoe battery, Wifi Adapter hazifikii za dell au computer zingine kwa speed, zinakuja na Hard disk za Toshiba ambazo ni ovyo kabisa, USBO port chache(Mara nyingi zipo 2 tu), Sound mbaya (nyingi zina Speaker moja tu). Hayo mapungufu hayapo kwenye Dell au HP. Ila Toshiba ndio ovyo kabisa.
Betry wamefeliNina toshiba mwaka wa sita sasa,na watoto wanaitumia,haijawahi kunisumbua
HII NI MACHINE BEI YAKE HALISI IPOJE. MAANA NDO NATUMIA USED.Nunua dell. Hizi zinakaa na chaji mpaka masaa 8. Trna ukipata Latitude E6430 ama ya juu yake hutajuta. Ziko bomba sana
Si hivyo tu LENOVO hadi processor yake imeungana na motherboard....nlikuwa nayo Lenovo processor ikaanza sumbua hivyo hakukuwa na namna zaidi ya kuuza kama spair tu na nilikaa nayo kwa mwaka 1 nam miezi nane tuTafuta dell kwa sababu ni computer ambayo ni kawaida sana hata maintenance yake ni ya kawaida sana.
Lenovo imenikera kitu kimoja. Zipo lenovo ambazo RAM zimechomelewa kwenye motherboard, Battery ipo ndani mpaka ufungue laptop nzima ndio utoe battery, Wifi Adapter hazifikii za dell au computer zingine kwa speed, zinakuja na Hard disk za Toshiba ambazo ni ovyo kabisa, USBO port chache(Mara nyingi zipo 2 tu), Sound mbaya (nyingi zina Speaker moja tu). Hayo mapungufu hayapo kwenye Dell au HP. Ila Toshiba ndio ovyo kabisa.
MacMambo!
Aisee ni computer [Laptop} gani ambayo ni nzuri kwa maana ya kudumu na muonekano mzuri, na kwa Dar es Salaam ni sehemu gani ninaweza pata ambazo ni original.
1.Lenovo
2.Hp
3.Mac/apple
4.dell