Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,653
- 218,143
Tunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.
Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?
Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?
Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?