Aibu: Ziara ya Waziri Mkuu Tunduma yageuka Mkutano wa Kampeni, Silinde na Mwambe wahutubia

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,653
218,143
Tunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.

Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?

Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
 
Humphrey Polepole alikuwapo juzi Tunduma lakini aliona dhahiri mkoa wa Songwe mambo magumu akakimbia. Sera za Maendeleo ya Vitu ya Dar es Salaam aliyosema Polepole kusuhu flyover , madaraja ya baharini, ndege na meli haziuziki Tunduma. Tunduma wanataka Maendeleo ya Watu .

 
Tunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.

Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?

Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
CCM ndio yenye serikali!

cc: Wakudadavuwa
 
2 Julai 2020
Tunduma, Tanzania

Mamia ya Wananchi wajitokeza kumsikiliza Mwakajoka



MBUNGE wa Tunduma ( CHADEMA) Frank Mwakajoka, amefanya mkutano mkubwa wa hadhara na kuzungumza na wananchi wake kabla ya kufikia uchaguzi mkuu mwezi Oktoba 2020.

Azungumzia kikokotoo cha pensheni walichosimamia wabunge wa upinzani ili kuwanusuru watumishi wa umma na sekta binafsi ikapelekea Serikali kukubaliana na hoja za wabunge wa upinzani.

Mwakajoka awaomba watumishi, wakulima, wafanyabiashara, bodaboda kuendelea kuvumulia hali ya kiuchumi ilivyo kwani wabunge wa CHADEMA wataendelea kuwatetea hali zenu ziwe bora zaidi.
Source: Global TV online
Frank Mwakajoka akitoa hoja bungeni

Apr 2020 bungeni Dodoma mbunge Frank Mwakajoka akizungumza
Source : CHADEMA MEDIA TV
 
Julai 2020
Tunduma, Tanzania

MWAKAJOKA Atikisa Tunduma
"Mkutano wa kuwashukuru Wananchi "CHADEMA Tutashinda Uchaguzi Majimbo Yote 2020 .


Mfano Chipaka tenki la maji na matenki mengine yatasambaza huduma ya maji safi kwa wote.

Elimu mji wa Tunduma imezidi kuboreshwa

Mbunge wenu mimi Mwakajoka nimetambuliwa ktk hansard ya bunge kama mchangiaji bora aliyeshika namba 7 ktk bunge la Muungano wa Tanzania kuwatetea wakulima, wafugaji, wavuvi na watumishi wa umma siyo Tunduma tu bali pia kuwatetea waTanzania wote. Kiasi Spika Job Ndugai akawa anaomba nipunguze mbinyo kuibana serikali lakini mimi kama Mwakajoka nilikuwa sielewi wala kuchoka kulibana bunge la Ndugai na serikali ya CCM Mpya.

Michezo ni afya na ajira mfano Mwakajoka Cup imesaidia kutoa burudani na kutoa vijana 3 waliochaguliwa kwenda under 17 timu ya taifa ya Tanzania ya soka.

Mfuko wa jimbo 95 milioni kila kata imenufaika kufuatana na mahitaji ya kila sehemu.

Vituo vya Afya pia vimeboreshwa kutoa huduma kwa Mama na Mtoto pia vijana na kina baba.
Source : JAY TV
 
Julai 2020
Tunduma, Tanzania

MWAKAJOKA Atikisa Tunduma
"Mkutano wa kuwashukuru Wananchi "CHADEMA Tutashinda Uchaguzi Majimbo Yote 2020 .


Mfano Chipaka tenki la maji na matenki mengine yatasambaza huduma ya maji safi kwa wote.

Elimu mji wa Tunduma imezidi kuboreshwa

Mbunge wenu mimi Mwakajoka nimetambuliwa ktk hansard ya bunge kama mchangiaji bora aliyeshika namba 7 ktk bunge la Muungano wa Tanzania kuwatetea wakulima, wafugaji, wavuvi na watumishi wa umma siyo Tunduma tu bali pia kuwatetea waTanzania wote. Kiasi Spika Job Ndugai akawa anaomba nipunguze mbinyo kuibana serikali lakini mimi kama Mwakajika nilikuwa sielewi wala kuchoka kulibana bunge la Ndugai na serikali ya CCM Mpya.

Michezo ni afya na ajira mfano Mwakajoka Cup imesaidia kutoa burudani na kutoa vijana 3 waliochaguliwa kwenda under 17 timu ya taifa ya Tanzania ya soka.

Mfuko wa jimbo 95 milioni kila kata imenufaika kufuatana na mahitaji ya kila sehemu.

Vituo vya Afya pia vimeboreshwa kutoa huduma kwa Mama na Mtoto pia vijana na kina baba.
Source : JAY TV

Sasa Silinde ameshindwaje kufanya hivi ?
 
Tunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.

Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?

Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
Mbona unaandika huku unataka kulia!
 
Chadema kwa kulialia , subiri kiama chenu mwaka huu yani tulivyopania!
 
Tunaposema CCM imekufa huwa hatubahatishi, Mh Kasimu Majaliwa ambaye yuko Tunduma kwa kinachoitwa ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma, hatimaye ametimiza kile kilichompeleka hasa ambacho ni kutafuta uwanja wa Msaliti Silinde kuhutubia baada ya kubainika kwamba, kwa sasa Silinde hana uwezo wa kukusanya hata watu 50 kwenye mkutano wa hadhara.

Hii yaweza kuwa aibu kwa mtu mzito kama Waziri Mkuu kutengeneza ziara ya kinafiki ili kuwapa uwanja wa kuhutubia wasaliti waliohama vyama vyao baada ya kununuliwa. Kama Silinde aliwadanganya kwamba yeye ni maarufu hadi mkamlipa pesa ya uchakavu kuna haja gani tena ya kutumia ziara za kiserikali ili kumbeba?

Juzi Mwakajoka amehutubia mwenyewe bila mamluki yeyote, kwanini Silinde naye asifanye hivyo ?
CCM wameanza kampeni kabla ya mda wake
 
Back
Top Bottom