Aibu ya Mwaka kuwakuta chadema chalinze

Aibu ya Mwaka kuwakuta chadema chalinze

Hizo ni picha za maandalizi ya mkutano wa kata ndio maana Jukwaani viti viko wazi.

Bado wanaendelea tu kukusaliti tu?? Haya tumika tu kama ile kitu tunayotupaga tukishamaliza kumshugulikia mtu
 
He!lo, ally khana. Naomba nisikitike kwa ajili yako kwa upeo mdogo wa akili yako. Hujui ulitendalo. Kwanza -unapaswa ujue kuwa kuwepo kwa Chadema Chalinze ndo mwanzo wa kuboromoka kwa ccm. Ingekua heri kwa ccm kama kusingekuw na uchaguzi huu mdogo. Watu wanakuwa huru kwa kuijua KWELI. NA HUU NI MUDA MUAFAKA KWA WANACHALINZE KUIJUA KWELI. si muda mrefu ccm chalinze itabaki matobomatobo. Chezea mageuzi wewe.

Tena sikushangai kwa sanabu, aklili yako imetiwa kama sio utaji basi kitambaa ili isiione kweli. Kila jambo na wakati wake chini ya Jua. Kwako wewe huu ni wakati wa kuikataa Kweli; Lakini siku inakuja na siku ipo, WATANZANIA WOTE HATA WATU KAMA WEWE, WATAJUA UKWELI KUWA ccm nk wezi, wauwaji, majangili, nk. MUNGU akusaidie.

Weee akili zako zimekaa ki-Lema lema, Ki-Mbowe Mbowe na kiyule babu aliyeruhusu Gongo...so wals haushangazi
 
Hao ndio malofa wanakumbatia twiga kupandishwa ndege na Mchanga wa dhahab kupelekwa ulaya yeye anabak na kilo ya maharage 1800/ nyama 7000/ sukar 2200/ sembe 1200 / mwache aseme mdomo Mali yake labda baba yake mstaafu wa jeshi atakula bure mpaka anakufa
 
Vp USA Bush mtoto na Bush mzee? Kenya je? Tunachoangalia hapa ni je amechaguliwa kidemokrasia?
DEMOKRASIA ipi unayoongelea wewe?,ya kutumia polisi na tume ya uchaguzi pamoja na kununua shahada za wap[iga kura kwa kutumia mgongo wa permbejeo kwa wakulima?
kule USA hawatumii FFU na mabomu ya machozi na kwa taarifa yako kule kenya *H*Ruto walitumia pesa ya wasomali na ndio maana kenya haijatumiwa salaamu za pongezi na USA hadi leo.
kalagha baho:eyebrows:
 
Mnafiki unamjua tu hizi picha sio za Chalinze .......Fusso haipo ....

attachment.php
 
Mkuu unafiki mmezoea sana mpaka na hili pia unataka kulitengenezea unafiki ha ha ha kazi kweli kweli
Fusso haipo Chalinze, sasa tuko Lugoba pale mwana mfalme alipo kata kuhutubia eti jua ni k l na hawezi kukaa juani ......
 
Chalinze ya ukoo wa watu wa GPA 2.0 wengine kurudia mitihani miisha yao yote kuendelea jimbo hilo kwa watu wenye ufinyu wa kufikiri taabu kweli ndio sampuli ya w.a. kwere hawajitambui
 
nchi hii ya wajinga sana mwizi kama mwana huyoanaye zungukwa na walipwa elfu mbili toka kibaha vigwaza kisarahe mwanarumango mlandizi ili mradi zungu la unga liwe na wapambe kwa fedha ya hazina
 
Back
Top Bottom