Aibu ya Mwaka kuwakuta chadema chalinze

Aibu ya Mwaka kuwakuta chadema chalinze

Pumbaf.uuu!

Unatuletea picha za maandalizi ya mkutano,huu ujinga wa kizamani hata UHURU jana walikuja na sinema kama hii front page watu wakabaki wanacheka tuu...

Kajipange upya.
 
Pumbaf.uuu!

Unatuletea picha za maandalizi ya mkutano,huu ujinga wa kizamani hata UHURU jana walikuja na sinema kama hii front page watu wakabaki wanacheka tuu...

Kajipange upya.

Jipe moyo ohhh tutafikaaaa
 
Maandalizi gani mkuu?? Watu wanamwaga sera hapo...ajabu hamna wana-chalinze hata kumi tu hapo...walio wengi ni misukule ya Lema...toka kuleeeeeeeeeee

hujuwi ulitendalo muuombe mungu akupe ufaham wa kujua na kutambua ya maana sawa zuzu
 
Hapo mnapoteza muda matoke
o yanajulikana labda mnalenga kupata ruzuku chadema imekwisha
 
hujuwi ulitendalo muuombe mungu akupe ufaham wa kujua na kutambua ya maana sawa zuzu

Mungu yupi huyo?? Huyu wa akina Lema na Babu Majanga na misukele yao?? Ha ha ha huyo si muombi hata kdg...Mungu anayewafundisha watu kusema uongo ha ha huyo muache abaki kuwa wenu
 
sasa kama kurugenzi ya habari bado hawajatoa wewe nini kilichokuwasha au ndio uzuzu!

Mkuu inaonekana imekutia uchungu sana hiyo picha eeeee..basi kama vp labour patakuwa panakuhusu
 
Pumbaf.uuu!

Unatuletea picha za maandalizi ya mkutano,huu ujinga wa kizamani hata UHURU jana walikuja na sinema kama hii front page watu wakabaki wanacheka tuu...

Kajipange upya.
Akajipange huyu zuuzu.
 
Ngoja kidogo, uandaliwe dozi kwa bomba.

ImageUploadedByJamiiForums1395577350.359060.jpg

Etiii eeeeee
 
Mimi sipo namwacha huyu dogo awatese chadema.
 
Mwaka huu ntacheka sana ngoja tusubiri tuone.
 
Halafu misukule inajidanganya inaweza kuchukuwa nchi. Mambo mengine ni vichekesho tu.
Mohamedi Mtoi, Ben Saanane, Yericko Nyerere, GODBLESS Lema, Dr.W.Slaa - Mpooooo?

Poleni sana, ndoto zenu mmezizima wenyewe kwa kukiondoa kichwa kilichoinyanyuwa chadema, Zitto Zuberi Kabwe. Hivi mlijiona tayari mmeshakuwa? mkaamuwa kumfukuza mtu aliyeipa umaarufu chadema.

Ficha upuuzi wako ewe mwanamke mjane na mchuna mabuzi
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA watakomboa Nchi daftari la wapiga kura likishaboreshwa! maana wale ambao hawajaandikishwa ndio wafuasi wa CHADEMA.
 
hivi ni kwanini umasikini wa akili husababisha pia umasikini wa kipato ?
 
Back
Top Bottom