Mathias Lyamunda
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 1,369
- 559
Muongo sana wewe
Dunia nzima inajua huko ndiko kwao alikuwa mbunge na waziri na sasa ndio Rais wa Tanzania, JK,lakini unajua hizo picha ni maeneo ya kwao kikwete?
Mnachokipigania ni ushindi kwa manufaa ya viongozi, na si maslahi ya wananchi ambao ni wapiga kura,
Sasa nakuuliza unajua sehemu hiyo yenye shida ya maji ni eneo mojawapo ndani ya Jimbo la Chalinze ambapo ni kwao kikwete?
Molemo ndio kampeni meneja wa Chadema Chalinze, sijui hawa jamaa wanatumia vigezo gani kupendekeza wawakilishi wao.
kushabikia watoto kurithi majimbo ya baba zao ni KUJIDHALILISHA MNO !
Punguza umalaya binti!Halafu misukule inajidanganya inaweza kuchukuwa nchi. Mambo mengine ni vichekesho tu.
Mohamedi Mtoi, Ben Saanane, Yericko Nyerere, GODBLESS Lema, Dr.W.Slaa - Mpooooo?
Poleni sana, ndoto zenu mmezizima wenyewe kwa kukiondoa kichwa kilichoinyanyuwa chadema, Zitto Zuberi Kabwe. Hivi mlijiona tayari mmeshakuwa? mkaamuwa kumfukuza mtu aliyeipa umaarufu chadema.
He!lo, ally khana. Naomba nisikitike kwa ajili yako kwa upeo mdogo wa akili yako. Hujui ulitendalo. Kwanza -unapaswa ujue kuwa kuwepo kwa Chadema Chalinze ndo mwanzo wa kuboromoka kwa ccm. Ingekua heri kwa ccm kama kusingekuw na uchaguzi huu mdogo. Watu wanakuwa huru kwa kuijua KWELI. NA HUU NI MUDA MUAFAKA KWA WANACHALINZE KUIJUA KWELI. si muda mrefu ccm chalinze itabaki matobomatobo. Chezea mageuzi wewe.
Tena sikushangai kwa sanabu, aklili yako imetiwa kama sio utaji basi kitambaa ili isiione kweli. Kila jambo na wakati wake chini ya Jua. Kwako wewe huu ni wakati wa kuikataa Kweli; Lakini siku inakuja na siku ipo, WATANZANIA WOTE HATA WATU KAMA WEWE, WATAJUA UKWELI KUWA ccm nk wezi, wauwaji, majangili, nk. MUNGU akusaidie.
Ulitaka watoto warithi nini? kama si kazi za baba zao?
Pale kuna uchaguzi na wana Chalinze watampa wamuoane anafaa au sio?
Kuna chama fulani watu wanarithishana na wakwe zao Uenyekiti au hujui hilo? na wanapeana ubunge kwa kuwa ni watoto, wake na mahawara, au hujui hilo? wagombee na wao tuone, wasingoje viti vya vya kunyanyua miguu.
hivi ni kwanini umasikini wa akili husababisha pia umasikini wa kipato ?
Mkuu unafiki mmezoea sana mpaka na hili pia unataka kulitengenezea unafiki ha ha ha kazi kweli kweli
kuuliza si ujinga , hivi NI NINI KILIMUUA BWANAMDOGO ?
Halafu misukule inajidanganya inaweza kuchukuwa nchi. Mambo mengine ni vichekesho tu.
Mohamedi Mtoi, Ben Saanane, Yericko Nyerere, GODBLESS Lema, Dr.W.Slaa - Mpooooo?
Poleni sana, ndoto zenu mmezizima wenyewe kwa kukiondoa kichwa kilichoinyanyuwa chadema, Zitto Zuberi Kabwe. Hivi mlijiona tayari mmeshakuwa? mkaamuwa kumfukuza mtu aliyeipa umaarufu chadema.
umeandika KWA KIWANGO CHA CHINI SANA ! HAKUNA POINT HATA MOJA , ZAIDI NIMEONA MAPOVU LUKUKI !
Kwa watanzania msiojua hasara ya mfumo tawala kifamilia jifunzeni kutoka libya na yaliyomkuta ghadaffi na familia yake
kushabikia watoto kurithi majimbo ya baba zao ni KUJIDHALILISHA MNO !
Kwa watanzania msiojua hasara ya mfumo tawala kifamilia jifunzeni kutoka libya na yaliyomkuta ghadaffi na familia yake