Aibu ya Mwaka kuwakuta chadema chalinze

Aibu ya Mwaka kuwakuta chadema chalinze

kanywe gongo yako usubirie kifo, wewe hujui chochote kinachoendele na kinachopaswa kufanyika katika taifa hili,wewe unadhani faida ni ya chadema au wananchi

Faida ni Chadema na kwa viongozi wachache saaana we mbulura endelea tu maana hujitambui na wala hajui utendalo
 
Halafu misukule inajidanganya inaweza kuchukuwa nchi. Mambo mengine ni vichekesho tu.
Mohamedi Mtoi, Ben Saanane, Yericko Nyerere, [MENTION=133bangi 19]GODBLESS[/MENTION] Lema, Dr.W.Slaa - Mpooooo?

Poleni sana, ndoto zenu mmezizima wenyewe kwa kukiondoa kichwa kilichoinyanyuwa chadema, Zitto Zuberi Kabwe. Hivi mlijiona tayari mmeshakuwa? mkaamuwa kumfukuza mtu aliyeipa umaarufu chadema.
Bang I zinakusumbua
 
Last edited by a moderator:
CDM chama jasiri. Waelimishe Chalinze hata kama ushindi hatutapata. Hilo ni eneo pekee magamba wanaweza jivuna...japo choka mbaya. Elimu duni, maji hakuna....nahisi hata udini..
 
Hizo ni picha za maandalizi ya mkutano wa kata ndio maana Jukwaani viti viko wazi.

Vipi, Kalenga? mlisema ushindi ni wenu na nyuzi imo humu, Molemo ndio alishika bango eti 80% ushindi ni wenu, nadhani Chalinze 100% ushindi ni wenu.

Unajuwa kuwa huko ndio kwao akina Kikwete?

Pokea pole zangu mapema kabisa.
 
Last edited by a moderator:
CDM chama jasiri. Waelimishe Chalinze hata kama ushindi hatutapata. Hilo ni eneo pekee magamba wanaweza jivuna...japo choka mbaya. Elimu duni, maji hakuna....nahisi hata udini..

nakushukuru sana kamanda , umeandika KIKAKAMAVU SANA !
 
Vipi, Kalenga? mlisema ushindi ni wenu na nyuzi imo humu, Molemo ndio alishika bango eti 80% ushindi ni wenu, nadhani Chalinze 100% ushindi ni wenu.

Unajuwa kuwa huko ndio kwao akina Kikwete?

Pokea pole zangu mapema kabisa.

kushabikia watoto kurithi majimbo ya baba zao ni KUJIDHALILISHA MNO !
 
Last edited by a moderator:

He!lo, ally khana. Naomba nisikitike kwa ajili yako kwa upeo mdogo wa akili yako. Hujui ulitendalo. Kwanza -unapaswa ujue kuwa kuwepo kwa Chadema Chalinze ndo mwanzo wa kuboromoka kwa ccm. Ingekua heri kwa ccm kama kusingekuw na uchaguzi huu mdogo. Watu wanakuwa huru kwa kuijua KWELI. NA HUU NI MUDA MUAFAKA KWA WANACHALINZE KUIJUA KWELI. si muda mrefu ccm chalinze itabaki matobomatobo. Chezea mageuzi wewe.

Tena sikushangai kwa sanabu, aklili yako imetiwa kama sio utaji basi kitambaa ili isiione kweli. Kila jambo na wakati wake chini ya Jua. Kwako wewe huu ni wakati wa kuikataa Kweli; Lakini siku inakuja na siku ipo, WATANZANIA WOTE HATA WATU KAMA WEWE, WATAJUA UKWELI KUWA ccm nk wezi, wauwaji, majangili, nk. MUNGU akusaidie.
 
Pumbaf.uuu!

Unatuletea picha za maandalizi ya mkutano,huu ujinga wa kizamani hata UHURU jana walikuja na sinema kama hii front page watu wakabaki wanacheka tuu...

Kajipange upya.

Chalinze lazima Chadema ipakatwe
 
chalinze kuna ukabila wa wakwere na uswahili mwingi hebu riz 1 atoke nje ya chalinze akagombe hata arusha kwa kutumia kivuli cha mtoto wa raisi kama atapata kura zaidi ya kwake
 
Vipi, Kalenga? mlisema ushindi ni wenu na nyuzi imo humu, Molemo ndio alishika bango eti 80% ushindi ni wenu, nadhani Chalinze 100% ushindi ni wenu.

Unajuwa kuwa huko ndio kwao akina Kikwete?

Pokea pole zangu mapema kabisa.

Molemo ndio kampeni meneja wa Chadema Chalinze, sijui hawa jamaa wanatumia vigezo gani kupendekeza wawakilishi wao.

 
attachment.php
 
chalinze kuna ukabila wa wakwere na uswahili mwingi hebu riz 1 atoke nje ya chalinze akagombe hata arusha kwa kutumia kivuli cha mtoto wa raisi kama atapata kura zaidi ya kwake

Kashfa na lugha za kebehi za wachaga ndio zinazoigharimu Chadema,wewe sema yote ukimaliza subiri kupakatwa.
 
Kashfa na lugha za kebehi za wachaga ndio zinazoigharimu Chadema,wewe sema yote ukimaliza subiri kupakatwa.

mingoi ukweli unaumaa,riz 1 hana ujasiri wa kugombea nje ya jimbo la chalinze alipozaliwa kama wenzake kina john mnyika,lema
 
Mungu yupi huyo?? Huyu wa akina Lema na Babu Majanga na misukele yao?? Ha ha ha huyo si muombi hata kdg...Mungu anayewafundisha watu kusema uongo ha ha huyo muache abaki kuwa wenu

Wewe mungu wako ni yule wa Usamah kijan wa laden ai sio?
 
Vipi, Kalenga? mlisema ushindi ni wenu na nyuzi imo humu, Molemo ndio alishika bango eti 80% ushindi ni wenu, nadhani Chalinze 100% ushindi ni wenu.

Unajuwa kuwa huko ndio kwao akina Kikwete?

Pokea pole zangu mapema kabisa.
Dunia nzima inajua huko ndiko kwao alikuwa mbunge na waziri na sasa ndio Rais wa Tanzania, JK,lakini unajua hizo picha ni maeneo ya kwao kikwete?
Mnachokipigania ni ushindi kwa manufaa ya viongozi, na si maslahi ya wananchi ambao ni wapiga kura,
Sasa nakuuliza unajua sehemu hiyo yenye shida ya maji ni eneo mojawapo ndani ya Jimbo la Chalinze ambapo ni kwao kikwete?
 

Attachments

  • 1395586233216.jpg
    1395586233216.jpg
    72.9 KB · Views: 91
  • 1395586301966.jpg
    1395586301966.jpg
    53.8 KB · Views: 81
  • 1395586353942.jpg
    1395586353942.jpg
    64.8 KB · Views: 85
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom