Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
kanywe gongo yako usubirie kifo, wewe hujui chochote kinachoendele na kinachopaswa kufanyika katika taifa hili,wewe unadhani faida ni ya chadema au wananchi
Mbona kwenye jukwaa hata wageni hawajapanda, sio wakati wa maandalizi ya mkutano hapa?
Unamaana kile kinywaji Babu majanga alichowahalalishia??
Mnafiki unamjua tu hizi picha sio za Chalinze .......Fusso haipo ....
Mkuu ni haramu CHADEMA kuwa Chalinze???
Mnafiki unamjua tu hizi picha sio za Chalinze .......Fusso haipo ....
Sawa.Sasa acha kashfa kwenye post yako, sisi wote ni Watanzania.Mkuu hii ni Tanzania huru hakuna mahala mtanzania yoyote anakatazwa kwenda ndani ya nchi yake
Sawa.Sasa acha kashfa kwenye post yako, sisi wote ni Watanzania.
Kurugenzi ya Habari njoo wasaidie hawa wakataa ukweliJitambue mtoa MADA
Watu au mtu, mbona hueleweki?Maandalizi gani mkuu?? Watu wanamwaga sera hapo...ajabu hamna wana-chalinze hata kumi tu hapo...walio wengi ni misukule ya Lema...toka kuleeeeeeeeeee
Sawa mkuu. Kila la kheri!Mkuu unaishi kwa kukariri nn?? Wapi nilipokashifu?? au kile kinywaji alichowahalalishia Babu majanga ndio kinachofanya kazi sasa
Kumbe aibu inawakuta CDM,wewe jahili inakuhusu nini? Au umemisi mambo ya obama alokataa mugabe???