chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,241
- 3,939
Ndugu, hiyo sio shida ya tcra ni shida ya watumiaji wa computer uliyokuwa unatumia ndo vitu ambavyo mostly wanasearch, ingia kwny history uangalie site zizowahi kutembelewa na hyo pc
Mbona mkuu unakuwa na ubishi usiokuwa na maana mtoa mada anachosema ni sahihi kabisa mimi hapa nina simu mpya nimejaribu kuingiza neno napenda auto suggestion ndizo hizo
napenda ku------
napenda kuf*rwa
usibishe tu fanya utafiti hayo mambo ya kusema kitu unachosearch sana ndiyo kinatokea labda kwa watu wengi Tanzania lakini siyo mimi personally