Aibu: Wito kwa TCRA kuhusu Google

Aibu: Wito kwa TCRA kuhusu Google

View attachment 265590


Ok WE ARE ANONYMOUS uko sawa hapo uliposema ukiandika neno 'NAPENDA' zinatokea suggestions hizo, but kwenye screenshot yako hapo juu nahisi 'umetuibia', ukiandika haya maneno full 'NAPENDA BY CHRISTINA SHUSHO haiwezi kukuletea suggestions hizo.
 
FACT : porn industry huingiza mabilioni ya dola mtandaoni. Wakati hadharani watu wengi hujidai kupinga picha za ngono lakini ukweli ni kwamba zina watazamaji wengi zaidi duniani. Hiyo auto suggestion inakuletea maneno yanayotafutwa zaidi mtandaoni, wala si Google. Bora ianze elimu ya kuzuia waswahili kusearch porn kwanza kabla ya kuwalaumu Google.
 
View attachment 265590


Ok WE ARE ANONYMOUS uko sawa hapo uliposema ukiandika neno 'NAPENDA' zinatokea suggestions hizo, but kwenye screen short yako hapo juu nahisi 'umetuibia', ukiandika haya maneno full 'NAPENDA BY CHRISTINA SHUSHO haiwezi ukuletea suggestions hizo.

Ok, nimekusoma, niliandika neno NAPENDA, ila wakati wa ku screenshot nilikuwa nime highlight hiyo suggestion ya mwisho ya shusho coz ndicho nilichokuwa nahitaji.
 
Enable safe search, ingawa sijui kama ina-filter matusi ya kiswahili
 
View attachment 265590


Ok WE ARE ANONYMOUS uko sawa hapo uliposema ukiandika neno 'NAPENDA' zinatokea suggestions hizo, but kwenye screenshot yako hapo juu nahisi 'umetuibia', ukiandika haya maneno full 'NAPENDA BY CHRISTINA SHUSHO haiwezi kukuletea suggestions hizo.
Google ni km maktaba iliyojaa vitabu vya kila aina vikiwepo vya sexiology. Pia ni kama msitu mkubwa wenye kila aina ya mimea. Hivyo unahitaji search skills kuweza kufika katibu zaidi na unachotaka. Kwa mfano ungeweka hayo maneno ndani ya alama za kufungua na Kufunga semi, hayo mengine yasingejitokeza. Tupeane nafasi ya kuifurahia Google
 
Ni shida kweli,sasa jaribu kusearch "wanafunzi" kwenye google images na "students" kwenye google images pia uone tofauti iliyopo.
 
Aibu ipi kwa TRCA wakati watumiaje wenyewe wa hiyo search engine ya google ni mimi na wewe?
kwahiyo unataka wafute ili kufurahisha watafutaji au iweje?
 
Ndugu, hiyo sio shida ya tcra ni shida ya watumiaji wa computer uliyokuwa unatumia ndo vitu ambavyo mostly wanasearch, ingia kwny history uangalie site zizowahi kutembelewa na hyo pc
 
Mpwa ni kweli kabisa ila mada yako inahitaji nyama zaidi. Hio computer uliotumia au account ndio mwenye nayo aliitumia kusearch hayo maneno. Hio ni kweli kabisa tubadilike


Ni kwel mkuu huyo anayoitumia mara kwa mara.sasa kama ya mke wake huo ni msala
 
mdau mtoa post yuko right kabisa miye mwenyewe nimejaribu suggestion ndiyo hizo na simu ni mpya hata huvyo nani anaweza kusema anapenda kufirwa
 
Kama kitu hukielewi vizuri ni vyema ukafanya utafiti au ukauliza. Google ina namna mbili ya kutengeneza hizo "auto completes", moja ni hiyo mnayosema ila ya pili hutokana na kitu ambacho watu wengi zaidi wa eneo husika wanakuwa wanatafuta mara kwa mara.

Someni hii makala japo ni ya kiingereza itasaidia kuwaongezea uelewa wa haya mambo.
Mpwa ni kweli kabisa ila mada yako inahitaji nyama zaidi. Hio computer uliotumia au account ndio mwenye nayo aliitumia kusearch hayo maneno. Hio ni kweli kabisa tubadilike

View attachment 265575


View attachment 265577

Hayo maneno itakuwa wewe mtoa mada ndo unapenda kuyasearch mara kwa mara ndio maana inakuletea suggestions hizo, mimi nilivyosearch suggestions zangu ziko clear kabisa

Mtoa mada hizo auto suggestions utakuwa unapenda kutembelea hizo sites. Do maana ukianza kutype tu zinajileta
 
search engine ya google ina filters, so ukitaka hayo maneno yasitokee inabidi uendeke kwenye settings ubadili filters, iwe ina-block maneno machafu kama hayo..
isipofanya hivyo wakati unajua basi we mwenyewe unapenda tu hayo maneno ila kama huyataki unaweza kuya block yasitokee kwenye suggestions na hata kwenye search results.
 
Jaribu na hii!! "WANAFUNZI WA CHUO" tena ukiweza weka iserch image
 
Thanks! Mkuu kwa kuliona hili.
Unajua hii kitu ya Autocomplete suggestion/prediction iko build kwenye Google search kwa ajili ya kumsaidia visitor kutafuta information kwa urahisi na kwa haraka zaidi, na hii inategemeana na eneo ulipo pamoja na lugha unayotumia. Na kigezo kinachotumika kupanga hizo suggestion ni popularity ya maneno. Maneno ambayo yanakuwa searched sana ndo huwa juu kwenye rank, lakini wakati mwingine hata yale maneno ambayo hayana popularity huwa yanakuja juu kwenye rank. Lakini pia Google suggestion inaweza kujumuisha taarifa ambazo zimekuwa searched before kama Google search Web History Feature ikiwa ipo on by default.

Kutokana na Google wenyewe inaonyesha zaidi ya 64% ya watumiaji wa engine ya google huwa wanachagua hiyo Auto suggest kuliko kumalizia yale maneno ambayo wanayatafuta. Na hiyo suggestion iko pale sio kwa ajili ya kumlazimisha mtu ku click bali mtu anaweza asi click hiyo Autocomplee prediction na kuendelea kuandika kitu anachotafuta.

Lakini kuna ishu ya Offensive Autocomplete Predictions. Kuna watu washaishtaki Google kwasababu tu ya auto suggestion ambazo zinashusha hadhi zao au brand ya biashara zao au kuwadhalilisha.

Mimi nadhani ni wakati mwafaka kwa kwa TCRA, ikiwezekana BAKITA, Wizara ya Science na hao watu wa domains kuripoti google juu ya hizi Offensive Predictions na Google ikatumia ripoti hizo kufanya improvement ya hizo offensive autocompleate predictions.

2Q==
 
View attachment 265575


View attachment 265577

Hayo maneno itakuwa wewe mtoa mada ndo unapenda kuyasearch mara kwa mara ndio maana inakuletea suggestions hizo, mimi nilivyosearch suggestions zangu ziko clear kabisa

Mkuu Google Autocompleate suggestion ni built in feature ya engine ya google. Na huwa inategemea vitu viwili, popularity rank ya maneno na Google search Web History. Kwahiyo kusema mtoa mada ndo anapenda kuya search mara kwa mara hayo maneno siyo sahihi. Kwasababu kama Google search Web History feature itakuwa ipo off, basi Autocompleate suggestion ita suggest maneno ambayo ni populary kutokana na eneo ulipo pamoja na lugha unayotumia. Kwahiyo haitegemei tu ile search history ya mtumiaji.
 
mdau mtoa post yuko right kabisa miye mwenyewe nimejaribu suggestion ndiyo hizo na simu ni mpya hata huvyo nani anaweza kusema anapenda kufirwa

mkuu, hii nchi ina wafirwaji wengi sana wa Kiume na wa kike... wanajiexpose sana Instagram..
mfano. kama unatumia instagram, search huyu user anajiita godfreyMayunga...hakika utashangaa kama hujazoea...
ni li-mtu libayaaa halafu shoga.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu, hiyo sio shida ya tcra ni shida ya watumiaji wa computer uliyokuwa unatumia ndo vitu ambavyo mostly wanasearch, ingia kwny history uangalie site zizowahi kutembelewa na hyo pc

Mbona mkuu unakuwa na ubishi usiokuwa na maana mtoa mada anachosema ni sahihi kabisa mimi hapa nina simu mpya nimejaribu kuingiza neno napenda auto suggestion ndizo hizo
napenda ku------
napenda kuf*rwa
usibishe tu fanya utafiti
 
Back
Top Bottom