Aibu nyingine kwa CHADEMA

Aibu nyingine kwa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hiyo picha inatufundisha nini? Ingekuwa ofsini sawa,lakn klabu? Hata mimi mbona nakulaga raha nikiwa maeneo kama hayo? PAMOJA NA KWAMBA NI PHOTOSHOP LAKN BADO HAINA JIPYA
 
Mkuu Ruta nilipata kusikia fununu kuwa ndoa ya Mbowe inautata kutokana na tabia yake ya ukware.Hapo utaona anazuga mbele za watu kwa kulazimisha denda la picha.
Mingoi
Jamaa hana tofauti na Diamond na Wema kabisa!

Najua bavicha najua watasema ni maisha binafsi kwa kuwa ni Mbowe!
Hivi maadili yanasema nini mtu kufanya haya mbele ya watoto?
Kwanini huwa tuna wakataza watoto kuangalia tamthilia hasa watu wanapo kiss?

Ingekuwa ni kiongozi wa CCM pasinge kalika na angeambiwa ana waharibu watoto wake lakini kwa kuwa ni mbowe basi inaonekana ana wafunza vyema watoto!
 
Last edited by a moderator:
Cha ajabu hapo nini? Hujawahi mpa kisi mkeo?Sikiliza hata mahubiri mengine. Hiyo ni upendo. Je wewe unayefanya gizani ni nani mwenye nafuu? Hakuna tatizo hapo.
 
huyo ni mkewe na huyo jamaa mwenye miwani ni firstborn wake sasa kipi kibaya hapo?
 
Mleta mada alikataliwa na Mbowe nini! Mbowe anamvuto muache ajiachie! Kama alikukataa kajinyonge wivu unakusumbua!
 
Mbona povu linakutoka?

Alichoweka si maadili kwa Taifa, hata mtoto wako akiona ujinga huo, sijui utakuwa unamfundisha nini. Kwa akili yako, hiiinakuingia akilini? acheni ubabaishaji, jengeni taifa, sio kuleta upumbavu kama huu humu.
Wabongo mna niboa sana mimi yaani, hamuwazi maendeleo ya nchi, kazi kuwaza upuuzi tu
 
Yule aliye enda nae Dubai "kucheza mechi ya mchangani" kwa kutumia pesa za uma akiiona hii picha lazima atakuwa anaumia moyoni.

ungetumia nafsi ya kwanza umoja kuliko ya tatu umoja pole wivu ni kidonda umeshiriki ugua pole
 
Tunapofanya kumbukumbu ya miaka 15 ya kifo cha baba wa taifa Mwl Julius K Nyerere tunakumbuka juhudi zake za kuhamasisha na kuhimiza uadilifu. Uadilifu ambao ni kinga ya maovu yote, uadilifu ambao ni nguzo imara na msingi wa miiko ya viongozi. Hatuwezi kuwa na uongozi bora bila kuwa na viongozi waadilifu.

Chadema ni chama kinachojibebesha taswira ya uadilifu, chama kinachoomba ridhaa kwa watanzania ili kiweze kuaminiwa kukabidhiwa serikali lakini tangu juhudi hizo zisizo na mafanikio kuanza mihongo kadhaa iliyopita bado chadema hakijaweza kufikia lengo lake na kushimdwa huko kunatokana na aina ya viongozi ambao chama hicho wanao.

Mwenyekiti wa chama ambae anapaswa kuwa dira na ndiye anayetakiwa kuset standard ya namna bora ya kufanikisha mipango ya chama anapokosa uadilifu chama hakiwezi kufanikiwa..

sina haja ya kueleza mengi, picha imebeba ujumbe kamili..hakika chadema ni janga la kitaifa.
Baada ya kushindwa propaganda zenu za kumtoa uenyekiti mmeanza kujifariji na photo-shop.
 
Huyo ni Lilian mkewe mbona Obama anafanya
Maadili yanasemaji hasa ya kijamii?
Kwanini huwa tunapiga marufuku watoto wetu kuangalia tamthilia hasa tunazojua kila muda watu hu kiss? Huwa tuna hofia nini? Kuwa mkewe si hoja? Hii ndio njia pekee ya kuwaonesha watoto unampenda Mama yao?

Kweli waafrica hili jambo ni la kawaida?
 
Duuuu Ni aibu, hiyo picha sio ya kuedit bhana sahihi kabisa. Uadilifu ziro aombe Kura km binadamu tu. Binafsi mmmhhhh

kwani si mke wake wa ndoa au kachepuka?kama kachrpuka ndio huko kukosa maadali ila kama ni mkewe halali nampa tano kwa kudumisha penz kwa mkewe
 
Alichofanya ni cha kawaida. Mbele ya kila mtu ni kawaida hata kutumia glass moja kunywea chochote. Tubadilike viva Mbowe.
 
uadilifu wewe mtela unao?rushwa umeweka kipaumbele chako......hongo za ccm na uadilifu wap na wap
 
kwani si mke wake wa ndoa au kachepuka?kama kachrpuka ndio huko kukosa maadali ila kama ni mkewe halali nampa tano kwa kudumisha penz kwa mkewe
huoni family yake hata sura huoni ?tazama mfanano wa sura
 
Tunapofanya kumbukumbu ya miaka 15 ya kifo cha baba wa taifa Mwl Julius K Nyerere tunakumbuka juhudi zake za kuhamasisha na kuhimiza uadilifu. Uadilifu ambao ni kinga ya maovu yote, uadilifu ambao ni nguzo imara na msingi wa miiko ya viongozi. Hatuwezi kuwa na uongozi bora bila kuwa na viongozi waadilifu.

Chadema ni chama kinachojibebesha taswira ya uadilifu, chama kinachoomba ridhaa kwa watanzania ili kiweze kuaminiwa kukabidhiwa serikali lakini tangu juhudi hizo zisizo na mafanikio kuanza mihongo kadhaa iliyopita bado chadema hakijaweza kufikia lengo lake na kushimdwa huko kunatokana na aina ya viongozi ambao chama hicho wanao.

Mwenyekiti wa chama ambae anapaswa kuwa dira na ndiye anayetakiwa kuset standard ya namna bora ya kufanikisha mipango ya chama anapokosa uadilifu chama hakiwezi kufanikiwa..

sina haja ya kueleza mengi, picha imebeba ujumbe kamili..hakika chadema ni janga la kitaifa.

Mtela kua kidogo basi.Hii ni ya mtu binafsi sana na wala haitusaidii watanzania.Ingekuwa vyema ukawwangazia wale wanaotafuna mali ya umma ambao wako kwenye chama chako.

Pole sana huo angekuwa Che Nkapa angesema una wivu wa KIKE.
 
Mtela kua kidogo basi.Hii ni ya mtu binafsi sana na wala haitusaidii watanzania.Ingekuwa vyema ukawwangazia wale wanaotafuna mali ya umma ambao wako kwenye chama chako.

Pole sana huo angekuwa Che Nkapa angesema una wivu wa KIKE.

ile ya komba ili tusaidia nini watanzania? haikuwa binafsi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom