Aibu naona mimi

Aibu naona mimi

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,086
Reaction score
16,060
Kuna umri unafika unabadilika kabisa, yaani siamini ndio mimi huyu ama?

Nasafiri niko kwenye bus, nimekaa na katoto kazuri balaa, na kanarespond vizuri sana. Tumeshuka kupata msosi kapo na mim yaani, nimelipa msosi tumekula. Kananiambia ndio kanaenda kuanza 1st year Dar es salaam, Kiuno kimekatika hatari.

Sasa nikipiga mahesabu haka kama sio miaka 19 basi 20. Mimi nimemaliza 2013 chuo, sasa na-imagine hili gap la umri.

Ninachowaza
1. Ananichukulia kama mshkaji
2. Baba
3. Mkaka fulani
4. Babu

Ama nini, nataka nichukue namba nasita, ila kana dalili zote za kunipa namba sasa. Nikikacheki kalivyongia kwenye bus asubuhi kaliniamkia, ila sasa kana confidence fulani hivi.

Sasa mabaharia, nichukue namba kwa lengo la kibaharia au nikapotezee tu?

Ushauri tafadhali,

Aibu naona mimi.
 
Kuna umri unafika unabadilika kabisa, yaani siamini ndio mimi huyu ama?

Nasafiri niko kwenye bus, nimekaa na katoto kazuri balaa, na kanarespond vizuri sana. Tumeshuka kupata msosi kapo na mim yaani, nimelipa msosi tumekula. Kananiambia ndio kanaenda kuanza 1st year Dar es salaam, Kiuno kimekatika hatari.

Sasa nikipiga mahesabu haka kama sio miaka 19 basi 20. Mimi nimemaliza 2013 chuo, sasa na-imagine hili gap la umri.

Ninachowaza
1. Ananichukulia kama mshkaji
2. Baba
3. Mkaka fulani
4. Babu

Ama nini, nataka nichukue namba nasita, ila kana dalili zote za kunipa namba sasa. Nikikacheki kalivyongia kwenye bus asubuhi kaliniamkia, ila sasa kana confidence fulani hivi.

Sasa mabaharia, nichukue namba kwa lengo la kibaharia au nikapotezee tu?

Ushauri tafadhali,

Aibu naona mimi.
Mkuu we chukua namba kabisa na ikibidi ukifika dar nenda kapige kabisa! Hata ukikaacha kuna watoto wadar kule watakatafuna vizuri tu, so bora ujilie mapema kabla hakajalijua jiji!
 
Kuweni na tahadhari na hawa first yaer new comers, kunamwenzenu aliwekwa kwenye speaker anajieleza alivyolipa ada ya hall pale Mabibo Hostel
 
Kuna umri unafika unabadilika kabisa, yaani siamini ndio mimi huyu ama?

Nasafiri niko kwenye bus, nimekaa na katoto kazuri balaa, na kanarespond vizuri sana. Tumeshuka kupata msosi kapo na mim yaani, nimelipa msosi tumekula. Kananiambia ndio kanaenda kuanza 1st year Dar es salaam, Kiuno kimekatika hatari.

Sasa nikipiga mahesabu haka kama sio miaka 19 basi 20. Mimi nimemaliza 2013 chuo, sasa na-imagine hili gap la umri.

Ninachowaza
1. Ananichukulia kama mshkaji
2. Baba
3. Mkaka fulani
4. Babu

Ama nini, nataka nichukue namba nasita, ila kana dalili zote za kunipa namba sasa. Nikikacheki kalivyongia kwenye bus asubuhi kaliniamkia, ila sasa kana confidence fulani hivi.

Sasa mabaharia, nichukue namba kwa lengo la kibaharia au nikapotezee tu?

Ushauri tafadhali,

Aibu naona mimi.
Nichukulie Mimi hiyo namba
 
Kuna umri unafika unabadilika kabisa, yaani siamini ndio mimi huyu ama?

Nasafiri niko kwenye bus, nimekaa na katoto kazuri balaa, na kanarespond vizuri sana. Tumeshuka kupata msosi kapo na mim yaani, nimelipa msosi tumekula. Kananiambia ndio kanaenda kuanza 1st year Dar es salaam, Kiuno kimekatika hatari.

Sasa nikipiga mahesabu haka kama sio miaka 19 basi 20. Mimi nimemaliza 2013 chuo, sasa na-imagine hili gap la umri.

Ninachowaza
1. Ananichukulia kama mshkaji
2. Baba
3. Mkaka fulani
4. Babu

Ama nini, nataka nichukue namba nasita, ila kana dalili zote za kunipa namba sasa. Nikikacheki kalivyongia kwenye bus asubuhi kaliniamkia, ila sasa kana confidence fulani hivi.

Sasa mabaharia, nichukue namba kwa lengo la kibaharia au nikapotezee tu?

Ushauri tafadhali,

Aibu naona mimi.
mjukuu wangu na ww ni graduate kwel...sijui nikuzabe mabanz
 
Back
Top Bottom