Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 16,060
- Thread starter
- #81
Namba ilisha chukuliwa toka jana mamii,hapa napalilia circumstances za kuja kula tunda hapo mbelen,uzur wangu huwaga sina haraka,yaan kenyew katajitia tundun
Mchana leo kamenianza kenyew,et karib lunch,sasa hapo kuna nin tena,weekend,nakapeleka KFC,..badae nakanunulia pizza kanalia kwenye gar huku nakashikashika,game is over,katakuja kenyew tuu,walah sikatamkii hata neno moja la mapenz,kataleta kenyew utam tena nyumban kwangu,hahahah
