Aibu naona mimi

Aibu naona mimi

Unatafuta mazingira ya kuja kumpiga risasi mtoto wa watu buree,.kusomesha sio mchezo ww..!!
Kuna umri unafika unabadilika kabisa, yaani siamini ndio mimi huyu ama?

Nasafiri niko kwenye bus, nimekaa na katoto kazuri balaa, na kanarespond vizuri sana. Tumeshuka kupata msosi kapo na mim yaani, nimelipa msosi tumekula. Kananiambia ndio kanaenda kuanza 1st year Dar es salaam, Kiuno kimekatika hatari.

Sasa nikipiga mahesabu haka kama sio miaka 19 basi 20. Mimi nimemaliza 2013 chuo, sasa na-imagine hili gap la umri.

Ninachowaza
1. Ananichukulia kama mshkaji
2. Baba
3. Mkaka fulani
4. Babu

Ama nini, nataka nichukue namba nasita, ila kana dalili zote za kunipa namba sasa. Nikikacheki kalivyongia kwenye bus asubuhi kaliniamkia, ila sasa kana confidence fulani hivi.

Sasa mabaharia, nichukue namba kwa lengo la kibaharia au nikapotezee tu?

Ushauri tafadhali,

Aibu naona mimi.
 
Eti amekuamkia wala usijali chukua no alafu nenda nae geto kale mzigo alafu kesho yake asubui mwambie akuamkie kama ataweza tena
 
Kuna umri unafika unabadilika kabisa, yaani siamini ndio mimi huyu ama?

Nasafiri niko kwenye bus, nimekaa na katoto kazuri balaa, na kanarespond vizuri sana. Tumeshuka kupata msosi kapo na mim yaani, nimelipa msosi tumekula. Kananiambia ndio kanaenda kuanza 1st year Dar es salaam, Kiuno kimekatika hatari.

Sasa nikipiga mahesabu haka kama sio miaka 19 basi 20. Mimi nimemaliza 2013 chuo, sasa na-imagine hili gap la umri.

Ninachowaza
1. Ananichukulia kama mshkaji
2. Baba
3. Mkaka fulani
4. Babu

Ama nini, nataka nichukue namba nasita, ila kana dalili zote za kunipa namba sasa. Nikikacheki kalivyongia kwenye bus asubuhi kaliniamkia, ila sasa kana confidence fulani hivi.

Sasa mabaharia, nichukue namba kwa lengo la kibaharia au nikapotezee tu?

Ushauri tafadhali,

Aibu naona mimi.
We kumaliza chuo 2013 inategemea pia na umri wako ulioingia nao chuo bana unaeza kuwa babu vile vile 😀 😀 😀 😀 kwani uliingia kama DIRECT, EQUIVALENT AU MATURED ENTRY
 
Yani tukushauri mtu ambaye hatumjui, what if in ndugu yangu!
Mpaka muda huu mtoto kashatoa namba,
Nilivo mshenz sasa

Nilikua natest mitambo nkamwambia sasa unipe namba yako,yaan hvo kibabe akasema sawa,nkachkua kasim kake nkaandika akauliza nisave nan nkamtajia,akutuma msg kwamba tayr ili namii nisave yake

Kwel usidharau hv vitoto vya skuhiz,..aisee kanaonekana katam haka,dah safar imekua ya faida
 
Napoleone,

Acha undezi, mabaharia hawana izo mambo unazoandika humu!
Mpaka muda huu mtoto kashatoa namba,
Nilivo mshenz sasa

Nilikua natest mitambo nkamwambia sasa unipe namba yako,yaan hvo kibabe akasema sawa,nkachkua kasim kake nkaandika akauliza nisave nan nkamtajia,akutuma msg kwamba tayr ili namii nisave yake

Kwel usidharau hv vitoto vya skuhiz,..aisee kanaonekana katam haka,dah safar imekua ya faida
 
Ukishakuwa Baharia, tayari jibu lipo tayari.
Usiishie kuchukua namba tu. Nendeni pamoja usiku wa leo.

Usije ukaishia kupewa namba, akafikia kwenye pini la msela mwingine.
Mpaka muda huu mtoto kashatoa namba,
Nilivo mshenz sasa

Nilikua natest mitambo nkamwambia sasa unipe namba yako,yaan hvo kibabe akasema sawa,nkachkua kasim kake nkaandika akauliza nisave nan nkamtajia,akutuma msg kwamba tayr ili namii nisave yake

Kwel usidharau hv vitoto vya skuhiz,..aisee kanaonekana katam haka,dah safar imekua ya faida
 
Chukua namba wewe pimbi acha undezi hujui kufika 31 disemba namba za baadhi ya watu zinaweza zisifanye kazi! Na unatakiwa umle kabla ya hiyo tarehe.
Mpaka muda huu mtoto kashatoa namba,
Nilivo mshenz sasa

Nilikua natest mitambo nkamwambia sasa unipe namba yako,yaan hvo kibabe akasema sawa,nkachkua kasim kake nkaandika akauliza nisave nan nkamtajia,akutuma msg kwamba tayr ili namii nisave yake

Kwel usidharau hv vitoto vya skuhiz,..aisee kanaonekana katam haka,dah safar imekua ya faida
 
Mdogo wangu kasafiri leo toka mwanza to dar...

Ngoja nimpigie simu nimuulize amekaa na nani/mwanaume au mwanamke.
Mpaka muda huu mtoto kashatoa namba,
Nilivo mshenz sasa

Nilikua natest mitambo nkamwambia sasa unipe namba yako,yaan hvo kibabe akasema sawa,nkachkua kasim kake nkaandika akauliza nisave nan nkamtajia,akutuma msg kwamba tayr ili namii nisave yake

Kwel usidharau hv vitoto vya skuhiz,..aisee kanaonekana katam haka,dah safar imekua ya faida
 
Back
Top Bottom