Aibu kubwa, CCM na Mtikila

Aibu kubwa, CCM na Mtikila

wapinzani bwana badala ya kuwa lao moja kuitoa ccm wanasemana kweli kazi ipo kuleta mageuzi nchi hii huyu naye mpinzani wa kweli?

nccr ni wapinzani?tlp je?dp ni wapinzani?cuf?hivi vyote inawezekana kabisa ni ccm.chunguza.
 
Eti na yeye kwa kutumiwa na hao hao ccm akafungua kesi akidai mgombea binafsi wakati huo huo ana chama chake cha siasa sasa kwahilo anapata faida gani?
 
Jana na juzi tumepokea katika mitandao na barua pepe mbalimbali Tamko la Chama cha DP kuhusu bomu la Arusha, licha ya kulisoma tamko hilo, wote mliotumiwa angalieni limetumwa kwa kutumia barua pepe ya CCMTANZANIAcontentsfolder@gmail.com Tujiulize nimeleta hapa haraka, kuna uhusiano gani kati ya CCMTanzania na Mtikila, Mtikila aulizwe kwanini ametuma barua pepe hiyo kwa kutumia anwani ya CCM waliandaa pamoja au aliandaliwa ili akasaini? Tunapeleka wapi nchi yetu? na Je CCM walikuwa wanaweweseka nini hadi wamwite Mtikila kutoa tamko la kusema Chadema wanahusika na Bomu la Arusha??? Tunaipenda nchi yetu, Serikali ichukue hatua.

Unajianika kuonesha ujinga wako,email ya gmail una sema ni email ya CCM! Basi ingekua CCM.com tungesema kweli imetoka CCM,sasa gmail.com unasema ni ya CCM! Umburura katika IT ukakimbilia kuleta thread hapa JF!
 
Last edited by a moderator:
Mungu ana makusudi na mpango wa wananchi.Mtikila hiyo ndo biashara yake mjini.Ukimkatia kidogo hata kama mlikosana atakusafisha.

umenikumbusha alivyokula hela ya ROSTAM na kuumbuka baada ya kujifanya anamkandia baadaye!
 
Kwa hiyo tamko liliandaliwa na Nnape Mwandosya kisha likawekwa kwenye bahasha ya kaki na kiburungutu cha pesa Mtikila alichotakiwa ni kusaini anachukua mshiko halafu anakaa pembeni..kweli njaa mbaya sana...
 
Naona Unajaribu Kumuunganisha Mchungaji Christopher Mtikila na CCM,Kwa taarifa yako Mchungaji Mtikila ndio Mpinzani wa Kweli katika Nchi hii ambae kwa kutumia nguvu na akili zake ameweza kusimamia kidete na kutetea mambo yale yanayo husiana na Masrahi ya Taifa hili! Propaganda zenu zifike kikomo!


Alishamaliza kulipa deni la RA?

Au ndiyo anaombewa msamaha?
 
kweli njia ya muongo ni fupi !mlikaa mda mrefu kuandaa ilo tamko ila mkasahau kitu kidogo tu(anuani) sasa inawaumbua
 
Naona Unajaribu Kumuunganisha Mchungaji Christopher Mtikila na CCM,Kwa taarifa yako Mchungaji Mtikila ndio Mpinzani wa Kweli katika Nchi hii ambae kwa kutumia nguvu na akili zake ameweza kusimamia kidete na kutetea mambo yale yanayo husiana na Masrahi ya Taifa hili! Propaganda zenu zifike kikomo!

Huyu Huyu aliyekopa M Tano kwa Rostam
 
CCM... gmail.com ni sawa na CCM.. CCM.com???? Akili za kuambiwa Changanya na zako!
 
Last edited by a moderator:
Jana na juzi tumepokea katika mitandao na barua pepe mbalimbali Tamko la Chama cha DP kuhusu bomu la Arusha, licha ya kulisoma tamko hilo, wote mliotumiwa angalieni limetumwa kwa kutumia barua pepe ya CCMTANZANIAcontentsfolder@gmail.com Tujiulize nimeleta hapa haraka, kuna uhusiano gani kati ya CCMTanzania na Mtikila, Mtikila aulizwe kwanini ametuma barua pepe hiyo kwa kutumia anwani ya CCM waliandaa pamoja au aliandaliwa ili akasaini? Tunapeleka wapi nchi yetu? na Je CCM walikuwa wanaweweseka nini hadi wamwite Mtikila kutoa tamko la kusema Chadema wanahusika na Bomu la Arusha??? Tunaipenda nchi yetu, Serikali ichukue hatua.

hivi haiwezekani mtu aka download hiyo report na ku attach kwenye email yeyote ile na ikaonekana kama ni ya huyo mtu?? originally??? poor thinking
 
Tunashukuru kutujuza kumbe Mtikila ni CCM kweli Tz upinzani wa kweli ni CDM tu
 
Eti na yeye kwa kutumiwa na hao hao ccm akafungua kesi akidai mgombea binafsi wakati huo huo ana chama chake cha siasa sasa kwahilo anapata faida gani?

hii ya mtikila inanikumbusha mawe aliyokuwa anawarushia kina jitu patel na rostam kumbe ndiyo wafadhili wake.aliumbuliwa na receipt
 
Mtikila haunganishwi na Chama cha Mapinduzi, amejiunganisha mwenyewe, au ameunganishwa na CCM wenyewe ilikuwaje akatumia barua pepe ya CCM akatuma kwa watu, kama yeye sio makini kivile, wewe unamtetea katika lipi? barua pepe kagawa yeye na kusoma tamko, lakini tamko originally limetoka CCMTANZANIAcontentsfolder@gmail.com, wewe unayepinga ulikuwepo?

Mkuu usipoteze muda kubishana na watu walioliwa ubongo na wadudu wa ccm wanaoitwa scania

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
wapinzani bwana badala ya kuwa lao moja kuitoa ccm wanasemana kweli kazi ipo kuleta mageuzi nchi hii huyu naye mpinzani wa kweli?

Si wote wasemao BWANA BWANA....
Wengine ni wapinzani wa kuchonga ili kuchelewesha lengo!
Humkumbuki Mangosuthu Buthelezi alivyotaka Wazungu waendelee kuwemo Afrika Kusini?
Umesahau CUF ilivyoshirikiana na CCM bungeni kubadilisha kanuni za Bunge ili kulegeza nguvu ya upinzani?
Tunawatambua kwa matendo yao.......
 
Upande mmoja mtikila nyama na upande wa pili ni chuma!
 
Upande mmoja mtikila ni nyama na upande wa pili ni chuma!
 
Back
Top Bottom