Aibu kati kati ya jiji

Aibu kati kati ya jiji

Ndwanga

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
23
Reaction score
2
Mshikaji kajikuta katika hali ya taharuki baada ya kutumbukia pasipo kujua katika shimo la maji taka lililopo pembezoni mwa jengo la HIDERY PLAZA posta
 

Attachments

  • 1399460964706.jpg
    1399460964706.jpg
    117.5 KB · Views: 812
wakati wa mvua ni kukwepa madimbwi tu lah sivyo unaweza chukuliwa na maji taka
 
Hatari sanaa ilo ni eneo korofi na kibaya zaid halina alama yeyote ya oyo ila lakufuraisha ni kwamba kuna vijana wameweka kijiwe kwaajili ya magari madogo yanayo kwama
 
Eneo lote la katikati ya jiji liko hivyo. Mifuniko ya majitaka imeibwa almost kila kona. Hali ni hiyo hiyo hapo barabara ya Samora, ilipo wizara ya Ujenzi. Na penyewe na shimo wazi la majitaka
 
mbona hapo hidery plaza huo ni ugonjwa wa miaka nenda rudi??au wewe ni mgeni wa mji huu nn aisee??
 
Wazee wa MiundoMbinu,JiJi,Manispaa fanyeni mambo jamani Mahandaki yanaongezeka barabarani!!
 
kuna watu hawafanyi kazi yao wanakula mshahara bure tu!

IMG_7129.jpg
 
Mkuu kila mwaka ndio wembo huwo huwo tu na siyo hapo ni kila sehemu ya kitumbini mnazi mmoja uhuru lakini wamekaa kimya kama vipofu lakini subiri ukaribei uchaguzi basi hapo tena vishindo vya ukarabati na ufisadi na sisi tena wavimba macho huwa zile hasira za mateso tunakuwa tushazisahau tunachekelia sasa safi kumbe washashiba sana wao wausika na hiyo kazi ya kubo bota bobota na si ya kudumu ni ufisadi tuu
 
mbona hapo hidery plaza huo ni ugonjwa wa miaka nenda rudi??au wewe ni mgeni wa mji huu nn aisee??

Kwa kweli muda mreefu saana na City Council hawana habari, inabidi tujaribu kwa ndoano pengine kuna samaki wameshazaliana
 
Usiombe ukutwe na janga alafu watu walio jirani na wewe wawe wateja wa FB,IG au ana Blog dadadadekiiiii utaomba ardhi ipasuke mpaka wakuokoe lazima 360 zimekuphotoa sana.
 
Fursa za watu hizo kwa ufugaji wa mamba,okoa maisha pita mbali na madimbwi,kwa hisani ya tanirodi
 
city center?? hii ni dalili ya watu kutokua waadilifu
 
Back
Top Bottom