Aibu hii kwa waandishi wa habari wa kike Arusha haivumiliki

Wana JF, sina ubishi katika hao waandishi wa kike, lakini tuwe wakweli hata waandishi wa habari waliotoka Dar es Salaam na kulipiwa fedha na vyombo vya wakiwamo wa Mwananchi (Nevil Meena) Huyu ni Mhariri na Katibu wa Jukwaa la Wahariri naye anaingia kwenye kashfa hii ya kuwaomba fedha viongozi wa na wabunge wa CCM.

Tulimshuhudia si mara moja akienda kwenye kambi ya CCM (Gateway Hotel) akijifanya kujenga hoja za mambo yanayoendelea kwenye kampeni hizo na baadhi ya wabunge wa CCM, lakini mwisho wa Saa alikuwa akilalamika njaa na kudai yeye hajaenda kupiga porojo ameenda Arumeru kutafuta fedha. Naomba tunapowaeleza ukweli waandishi wa kike wanaotumia miili yao kudhalilisha TAALUMA pia wapo wanaume nao wanadhalilisha vyeo walivyonavyo na vyombo wanavyotoka kwani si wanakuwa wamelipiwa kila kitu, hiyo tamaa ya kuombaomba fedha inayoka wapi.

Na hili si kwa Arumeru Mashariki tuu kwani hata uchaguzi wa Igunga mwandishi wa Mwananchi Boniface Meena alikuwa ni moja ya waandishi waliopelekwa na ofisi zao, lakini kufika kule alianza kujipendekeza kwa viongozi wa CHADEMA ili aingizwe kwenye posho za waandishi waliopelekwa na CHADEMA kutokea Dar wakati yeye alilipiwa na ofisi.

Hii tabia si nzuri kwa waandishi wote, tunawaomba wabadilike tutaacha kuwaruhusu kuingia kwenye maofisi yetu wala kuja kutuhoji tunawajua vizuri sana nyinyi.

Nakubaliana nawe kabisa kwa mwandishi huyu na hata mimi nikiwa hapa Arusha nimemshuhudia akipewa pesa na mwigulu Mchemba na nikashangaa kama mwananchi hawakumpa pesa au vipi. ni aibu kwa gazeti tunaloliamini kama mwananchi kumuajiri huyu mtu na kumfanya mhariri huku akiaibisha taaluma yake ukizingatia ana muda mrefu katika fani hii. Pia ni aibu kwa jukwaa zima la wahariri kwa bosi wao kujiingiza katika tabia hii. shame on you journalists wa aina hii ya Meena
 
Kama Chadema hamtoi hela ye akale wapi?
Nakubaliana nawe kabisa kwa mwandishi huyu na hata mimi nikiwa hapa Arusha nimemshuhudia akipewa pesa na mwigulu Mchemba na nikashangaa kama mwananchi hawakumpa pesa au vipi. ni aibu kwa gazeti tunaloliamini kama mwananchi kumuajiri huyu mtu na kumfanya mhariri huku akiaibisha taaluma yake ukizingatia ana muda mrefu katika fani hii. Pia ni aibu kwa jukwaa zima la wahariri kwa bosi wao kujiingiza katika tabia hii. shame on you journalists wa aina hii ya Meena
 
Weka kitu kweupe nani aliefuatwa chooni japo ushawasema hao waandishi......kwa upande wa kubonyezwa uko achana nako kwani si wanawake waache watimize jukumu lao kwetu sisi wanaume (kama hawajaolewa)
ushahidi tumwagie
 
ni kwamba 'uchangudoa 'umevamiwa na waandishi wa habari? au uandishi wa habari umevamiwa na machangudoa???

which is which?????????

Inasikitisha kusikia kuwa hawa waandishi wa habari wanawake badala ya kuzingatia kazi iliyowapeleka huko ambayo ni ukusanyaji na upashanaji habari, wao wanaanza shughuli mbadala, kusaka fedha na kuendekeza ngono. Kwa kuwa tabia ni hulka, na hulka haijifichi, basi uandishi wa habari umevamiwa na changu doa!!!!
 
ni kwamba 'uchangudoa 'umevamiwa na waandishi wa habari? au uandishi wa habari umevamiwa na machangudoa???

which is which?????????

Boss dah hapa umeniua nimecheka mpaka basi hehehehehe.......nadhani ni uchangudoa umevamiwa na uandishi wa habari wanaingilia profession za watu wengine
 
Waandishi hao ni,Ashura Mohamed kutoka kituo cha radio five ya jijini Arusha,Jeny Edward anayeandikia gazeti la majira na pamela Mollel wa gazeti la majira jijini Arusha.

bila ya kutuelezea wanaumme waliokuwa nao kwa majina huu sasa utakuwa unyanyasaji wa kijinsia...............
 
hilo silipingi na nakupongeza kwa kulisema ,mwaka 2000 nililiona bukoba mjini na mwaka 2005 karagwe
 
hilo sio tija na vyuo walivyosoma vinahusika pia..

Chuo cha uandishi wa habari kilichoko Arusha asilimia kubwa wanaosoma hapo ni Malaya watupu wanaojiuza, ukitaka kujua ukweli nenda Babylon Arusha utawakuta wanavyojiuza, nawajua sana hawa..Hiki chuo kilichopo Mbauda chini ni balaa kwa machangudoa, sijui kama tuendako habari itaandikika bila kwanza ya kupeana mambo.
 
Nchemba alikuwepo huko ndo maana hakuchukua wake za watu kumbe walikuwepo hao haja zake alimalizia kwa waandishi machangudoa.
 
Hao wanaume wa CCM ambao wameacha wenzi wao na kwenda Arumeru kwa ajili ya kampeni hawajajirahisisha?
Waacheni wadada wa watu banaa! Life is about a lot of choices. Hata huko kwenye masemina na ma-workshop wanaojirahisisha wa kike na wa kiume wapo pia.
 
Kuna waandishi wa habari wa aina 3 na kuna bahasha za waandishi za aina 3!.
Waandishi.
1. Genuine Journalist: Hawa ni wale waliosomea fani na na wana wito wa uandishi. Hawa wataandika habari yako bila kudai chochote kwa sababu ni wakaajiriwa na hizo media na wanalipwa mishahara yao.
2. Freelance Journalist: Hawa ni waandishi ambao ambao wanapenda fani ya uandishi na wakasomea au hata bila kusomea lakini hawaku bahatika kuajiriwa. Ili hawa ma freelancers hawalipwi mpaka story itoke!. Wanalipwa kati ya Sh. 2,000- 5,000 per story!. Hivyo you can imagine!. Hao waandishi wote wenye tabia hizi wengi ni hawa ma free lancers na wengine ndio hao makanjanja!.
3. Born Journalist: Hawa ndio wale walio zaliwa wawe waandishi and likely wataufia uandishi. Hawa hujitoa maisha yao ...

Pasco,
tuambie tofauti yako na hao waandishi wa habari wanaouza utu wao kwa chochote? Umemganda Lowassa kama kupe.
Ungekuwa mwanamke nadhani wangesema mengi masta!
 
Wahariri wanachangia sana dada zetu waandishi wa habari kudhalilika na kuambukizwa maradhi pia.
Wahariri jaribuni kuhakikisha waandishi wetu wanapewa ujira unaokidhi mahitaji.
Wengine hujikuta wametumbukia kwenye mitego ya wanaume bila kupenda kutokana hali ngumu ya maisha.
 
Wana
JF, sina ubishi katika hao waandishi wa kike, lakini tuwe wakweli hata
waandishi wa habari waliotoka Dar es Salaam na kulipiwa fedha na vyombo
vya wakiwamo wa Mwananchi (Nevil Meena) Huyu ni Mhariri na Katibu wa
Jukwaa la Wahariri naye anaingia kwenye kashfa hii ya kuwaomba fedha
viongozi wa na wabunge wa CCM. Tulimshuhudia si mara moja akienda
kwenye kambi ya CCM (Gateway Hotel) akijifanya kujenga hoja za mambo
yanayoendelea kwenye kampeni hizo na baadhi ya wabunge wa CCM, lakini
mwisho wa Saa alikuwa akilalamika njaa na kudai yeye hajaenda kupiga
porojo ameenda Arumeru kutafuta fedha. Naomba tunapowaeleza ukweli
waandishi wa kike wanaotumia miili yao kudhalilisha TAALUMA pia wapo
wanaume nao wanadhalilisha vyeo walivyonavyo na vyombo wanavyotoka
kwani si wanakuwa wamelipiwa kila kitu, hiyo tamaa ya kuombaomba fedha
inayoka wapi. Na hili si kwa Arumeru Mashariki tuu kwani hata uchaguzi
wa Igunga mwandishi wa Mwananchi Boniface Meena alikuwa ni moja ya
waandishi waliopelekwa na ofisi zao, lakini kufika kule alianza
kujipendekeza kwa viongozi wa CHADEMA ili aingizwe kwenye posho za
waandishi waliopelekwa na CHADEMA kutokea Dar wakati yeye alilipiwa na
ofisi. Hii tabia si nzuri kwa waandishi wote, tunawaomba wabadilike
tutaacha kuwaruhusu kuingia kwenye maofisi yetu wala kuja kutuhoji
tunawajua vizuri sana nyinyi.

na huyu ndiye aliyeshinda tuzo ya mwandishi bora!!!!
 
jamani habari yoyote ni lazima iwe BALANCED ,mleta hoja kwanza hajadhibitisha allegation zake kwa wadau husika aiowataja.pili hakuleta upande wa pili wa wahusika tukausikia.kwa hyo yeye ne sijui ni aina gani ya mwandishi asiejua ku-balance story.
 
Tuwekee ushahidi hapa sio unataja majina tu bila kuweka ushahidi hapa. Tena unajiita mwandishi wa habari hata ushahidi huna.
Fani ya uandishi wa habari hapa Tanzania ni tatizo sio kwa wanaume wala wanawake. Waandishi huwa wanakuwa mabango ya ccm wakati wakati wa uchaguzi, wale wa magazeti ya kijani na njano huwa wanakuja na makala za kipuuzi. Wengine wanatetea mafisadi mpaka leo.
Kwa kifupi waandishi wa habari wanaume na wanawake huwa wananunuliwa kama nguo za mitumba

Unataka akuwekee USHAIHIDI WA NGONO??? Duuuh! We ni kiboko mkuu!
 
Naomba wahariri wao wachukue hatua kuhakikisha hii tabia inatoweka, vinginevyo tutakosa imani na vyombo vyao vya habari.
 
Back
Top Bottom