Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
Kama ni njaa basi kwa waandishi hawa imevuka kiwango,hii imetokea katika kampeni za uchaguzi zilizomalizika Arumeru mashariki,ambapo waandishi wa habari wa kike wamethubutu hata kujirahisi kimwili kwa viongozi wa ccm ilimradi apate chochote,hii kero kama mwandishi mwenzao wa habari nilisema sitaivumilia, kwakweli kama kuna wahariri wao ni bora watambue kuwa hawa waandishi wao wanatia aibu sana kwa jami,na hawafai kuandikia vyombo vinavyoheshimika
Waandishi hao ni,Ashura Mohamed kutoka kituo cha radio five ya jijini Arusha,Jeny Edward anayeandikia gazeti la majira na pamela Mollel wa gazeti la majira jijini Arusha.
Naweza kusema aliyeandika makala ya waandishi hawa kwenye gazeti la mwananchi jumapili iliyopita ,ametusaidia sana kwani hata yeye ameyaona haya na kuamua kuyaanika hadharani.
Waandishi hawa wamekuwa kero kubwa , wamekuwa wakiwaganda viongozi wa vyama vya siasa na serikali hadi wanawafuata chooni na kuwasubilia huku wao wenyewe wakipigana vikumbo kwa kusema kuwa hicho ni kicha changu niachie.
Hii taaluma ya uandishi wa habari inazidi kuporomoka kwa kiwango kikubwa bila sisi wenyewe kuonyana,tabia ya waandishi hao ni kuomba fedha kwa wadau tena kwa nguvu huku wakiwafuata hata kwenye nyumba za kulala wageni walipofikia na kuthubutu hata kufanya nao ngono ili mradi ampatiea chochote,wamekuwa na tabia ya kutaka fedha kwa nguvu na kuwa kero kwa viongozi kadhaa wanaofika jijini hapa kwa ajili ya mikutano.
Tunaomba wadau wa habari mtusaidie kuwasema sisi kwakweli tumechoka maana hata chama cha waandishi wa habari Arusha(APC) nacho viongozi wake wamejaa madhambi ya utovu wa nidhamu kwa kushiriki kupatiwa fedha ili nwatumike kuandika habari za wadau vizuri .
Waandishi hao ni,Ashura Mohamed kutoka kituo cha radio five ya jijini Arusha,Jeny Edward anayeandikia gazeti la majira na pamela Mollel wa gazeti la majira jijini Arusha.
Naweza kusema aliyeandika makala ya waandishi hawa kwenye gazeti la mwananchi jumapili iliyopita ,ametusaidia sana kwani hata yeye ameyaona haya na kuamua kuyaanika hadharani.
Waandishi hawa wamekuwa kero kubwa , wamekuwa wakiwaganda viongozi wa vyama vya siasa na serikali hadi wanawafuata chooni na kuwasubilia huku wao wenyewe wakipigana vikumbo kwa kusema kuwa hicho ni kicha changu niachie.
Hii taaluma ya uandishi wa habari inazidi kuporomoka kwa kiwango kikubwa bila sisi wenyewe kuonyana,tabia ya waandishi hao ni kuomba fedha kwa wadau tena kwa nguvu huku wakiwafuata hata kwenye nyumba za kulala wageni walipofikia na kuthubutu hata kufanya nao ngono ili mradi ampatiea chochote,wamekuwa na tabia ya kutaka fedha kwa nguvu na kuwa kero kwa viongozi kadhaa wanaofika jijini hapa kwa ajili ya mikutano.
Tunaomba wadau wa habari mtusaidie kuwasema sisi kwakweli tumechoka maana hata chama cha waandishi wa habari Arusha(APC) nacho viongozi wake wamejaa madhambi ya utovu wa nidhamu kwa kushiriki kupatiwa fedha ili nwatumike kuandika habari za wadau vizuri .