Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,613
- 17,638
Dah hii dunia hii !!!
Duh! Yaani kwavile uki-Google unaikuta imeandikwa na media nyingi ndo basi tena habari ni ya ukweli!!! Yaani unazungumzia hizi blogs ambazo hazipo monitored/regulated?
Contents za online issue sio media bali ni media za aina gani!!! Chunguza hizo media unazosema zimeripoti si ajabu karibu zote ni mara yako ya kwanza kuzisikia!!
Narudia... sio habari za kweli! Hizo media nyingi unazosema zote wameichukua hiyo habari kwenye blog ya World News Daily Report. Angalia hizo media wameripoti kama zote hujakuta zimeripoti baada ya WNDR kuwa wamesharipoti!!!
Lakini kubwa zaidi, hao WNDR wameandika wazi wazi kwamba habari zao ni za kuburudisha tu! Kwa mfano, hao hao wameandika kuna gaidi amekufa baada ya kuficha bomu kwenye njia ya haja kubwa!! Can you believe that story?!
Humo humo kuna habari ya muhalifu ambae aliingiza silaha/bunduki aina ya M16 gerezani baada ya kuificha kwenye njia ya haja kubwa... can you believe it?!
Humo humo kuna habari ya mwanamke mmoja aliyekuwa amesomsokomeza mtoto mwenye miezi 14 kwenye K yake! Can you believe that story?!
Kwenye Post #77 nimeweka hadi link ya hiyo blog ambayo wamesema wazi habari zao ni za kuburudisha tu!!!
Mbona umepanic sana bro.....relax na nyie mnavotuletea news za ushoga from blogs huwa tunalalamika?Moderator
Ondoeni huu uchafu ambao utasababisha minyukano isiyo na lazima!!! Hii habari sio ya kweli!
Hii habari imetolewa na habari ilitolewa na World News Daily Report!!! Hawa jamaa habari zao wanatoa kwa kufurahisha genge tu na huwa hazina ukweli wowote na hata kwenye Disclaimer yao wameandika wazi wazi kwamba:Na hilo angalizo hapo juu wanalitoa kwenye kila page
Mfano wa habari zao ni pamoja na: TERRORIST WHO HID GRENADES IN ANUS DIES OF INTERNAL BLEEDING AT IRAQI AIRPORT.
Hivi kweli mtu anaweza kuficha bomu kwenye njia ya haja kubwa?! Habari kama hiyo si ingevuma sana... lakini hutaipata popote zaidi kwa hao jamaa na ukiikuta pengine, ndo kama mleta mada hapa JF... zoa zoa tu bila kutafuta uhalali wa habari husika!
Nyingine hii hapa: GANG MEMBER DIES IN PRISON AFTER SMUGGLING M-16 IN HIS ANUS
Bunduki yenyewe wanayosema jamaa aliingia nayo jela ikiwa ameificha kwenye njia ya haja kubwa ni hii:
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuamini mashine kama hiyo inaweza kuingia kwenye tundu la haja kubwa?
BABYSITTER TRANSPORTED TO HOSPITAL AFTER INSERTING A BABY IN HER VAGINA
We jamaa chuki zako za kijinga zinakufanya ushindwe kutumia akili kuchanganua mambo!!! Hivi mtu anayeshirikisha ubongo wake sawa sawa anaweza kuamini ujinga kama huo?!
Nawe mleta mada, usipende kuokoteza habari kwenye mitandao bila kuwa na uhakika nazo!!!Hiyo habari ilitolewa na World News Daily Report!!! Hawa jamaa habari zao wanatoa kwa kufurahisha genge tu na huwa hazina ukweli wowote na hata kwenye Disclaimer yao wameandika wazi wazi kwamba:
Na hilo angalizo hapo juu wanalitoa kwenye kila page
Moja ya habari zao tata ni pamoja na: TERRORIST WHO HID GRENADES IN ANUS DIES OF INTERNAL BLEEDING AT IRAQI AIRPORT.
Hivi kweli mtu anaweza kuficha bomu kwenye njia ya haja kubwa?! Habari kama hiyo si ingevuma sana... lakini hutaipata popote zaidi kwa hao jamaa na ukiikuta pengine, ndo kama mleta mada hapa JF... zoa zoa tu bila kutafuta uhalali wa habari husika!
Nyingine hii hapa: GANG MEMBER DIES IN PRISON AFTER SMUGGLING M-16 IN HIS ANUS
Bunduki yenyewe wanayosema jamaa aliingia nayo jela ikiwa ameificha kwenye njia ya haja kubwa ni hii:
Huyo jamaa ana mku.ndu mkubwa kiasi gani hadi aweze kusokomeza dude lote hilo?
BABYSITTER TRANSPORTED TO HOSPITAL AFTER INSERTING A BABY IN HER VAGINA
Eti wakesha usiku wakila kama wachawi..!
Wewe ni mjinga sana..umeleta comment kwa mihemko ya chuki za kijinga unadhani hiyo kejeli wewe ndo wa mwanzo? Waliokutangulia kabla yako walifanya kama hivyo, lakini wala hakusadia kitu.
Eti wakesha usiku wakila kama wachawi..!
Wewe ni mjinga sana..umeleta comment kwa mihemko ya chuki za kijinga unadhani hiyo kejeli wewe ndo wa mwanzo? Waliokutangulia kabla yako walifanya kama hivyo, lakini wala hakusadia kitu.
kujamba kwingi mwisho kushika mavi
Duh! Kazi unayo aisee!!! Yaani kwa kuwa huwa zinaletwa habari za ushoga na wewe ukaamua kupita kuokoteza habari bila kuzifanyia utafiti ili mradi tu ulipize kisasi!!Mbona umepanic sana bro.....relax na nyie mnavotuletea news za ushoga from blogs huwa tunalalamika?
Hii habari ni ya ukweli imeandikwa na watu wengi sana hadi kuna video ya huyo judge akifanyiwa interview subiri nitakuletea
Hadi wenyewe wameandika contents zao zinakuwa na satirical & fictional nature lakini bado kabisa unaamini kinachoandikwa!!!Information contained in this World News Daily Report website is for information and entertainment purposes only....
WNDR assumes however all responsibility for the satirical nature of its articles and for the fictional nature of their content. All characters appearing in the articles in this website – even those based on real people – are entirely fictional and any resemblance between them and any persons, living, dead, or undead is purely a miracle.
Hakuna mtu mpumbavu kama wewe unayesema hakuna Mungu. Wewe ni lipumbavue unamkataa Mungu halafu unaabudu baali!. Nidyo sababu huyo allah wenu a.k.a baal anawaambia mkeshe mkila usiku kucha ili mzidi kuw amapumbavu na sasa anawaa mrisha hakuna kujamba!.
Mambo gani ya kuchanganua kwa allah, aka lucifer au baal? Satan hawezi kuwa Mungu na hilo halihitaji uchanganuzi!.
Na kwa haya matusi ndiyo allah alikuwa anaku recharge kwenye wanga wenu wa kukesha mnakula? Pumbaveu kweli kwlei
Maelezo marefu yasiyo na mantiki yoyote.. Lakini sikushangai kwa vile ni team firaun.Nani aliyetangulia kati ya Mungu na allah? Nani aliyetangulia kati ya Yesu Kristo wa Nazareth, Emanuel Alfa na Omega, na huyo mohamed wako?
Kati yao nani ni mkuu? Funguka akili mbumbumbu wewe!. Unadanganywa na uwongo uliodhahiri halafu unabakia kulinda mungu kwa matusi? Mung analindwa na wafuasi wake? allah na mohamed wanatofauti gani na viongozi wengine wa kidunia? Tofautisha!.
Huwezi kulazimisha watu waabudu unachokijua wewe kwa kuwatukana. Kwani hamli usiku kucha? Uwongo uko wapi? Kula usiku kucha ni tusi?
Kwani hamjambi mchana kutwa? Kujamba ni shida gani kwa mtu alliyevimbiwa? Unajua kuvimbiwa kitaalam ni nini? Na kujamba kunamaana gani katika maisha ya mtu mgonjwa ama mlafi? Sasa hapo!. uone allah ahtaki mjambe, atakuwa anawatakia mema kweli? Eti mkijamba mnyongwe!. Atakuwa anataka kafara zaidi huyo allah wenu.
Vinginevyo useme kwamba kujamba siyo kosa nani haki kwa wala usiku kucha ila hao walslam wanaohukumiwa kufa kwa kosa la kujamba, wanaonewa!.
We jamaa chuki zako za kijinga zinakufanya ushindwe kutumia akili kuchanganua mambo!!! Hivi mtu anayeshirikisha ubongo wake sawa sawa anaweza kuamini ujinga kama huo?!
Nawe mleta mada, usipende kuokoteza habari kwenye mitandao bila kuwa na uhakika nazo!!!Hiyo habari ilitolewa na World News Daily Report!!! Hawa jamaa habari zao wanatoa kwa kufurahisha genge tu na huwa hazina ukweli wowote na hata kwenye Disclaimer yao wameandika wazi wazi kwamba:
Na hilo angalizo hapo juu wanalitoa kwenye kila page
Moja ya habari zao tata ni pamoja na: TERRORIST WHO HID GRENADES IN ANUS DIES OF INTERNAL BLEEDING AT IRAQI AIRPORT.
Hivi kweli mtu anaweza kuficha bomu kwenye njia ya haja kubwa?! Habari kama hiyo si ingevuma sana... lakini hutaipata popote zaidi kwa hao jamaa na ukiikuta pengine, ndo kama mleta mada hapa JF... zoa zoa tu bila kutafuta uhalali wa habari husika!
Nyingine hii hapa: GANG MEMBER DIES IN PRISON AFTER SMUGGLING M-16 IN HIS ANUS
Bunduki yenyewe wanayosema jamaa aliingia nayo jela ikiwa ameificha kwenye njia ya haja kubwa ni hii:
Huyo jamaa ana mku.ndu mkubwa kiasi gani hadi aweze kusokomeza dude lote hilo?
BABYSITTER TRANSPORTED TO HOSPITAL AFTER INSERTING A BABY IN HER VAGINA
umenichekesha mkuu kwa kweli hao hta shigongo anakaa chaaa c kwa uongo huo!!!!Enzi hizo namsoma Shigongo level za uongo wa hao jamaa hakufikia wala kukaribia... labda siku hizi cjui!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umenichekesha mkuu kwa kweli hao hta shigongo anakaa chaaa c kwa uongo huo!!!!
Dini ya haki. Kujamba adhabu yake ni kifo. Haki iko wapi?
Source plzA Pakistani judge has sentenced a man to be executed after he was expelled 17 times from 6 different mosques for excessive farting during the period of the Ramadhan reports the Islamabad Herald this week.
The Ramadhan is the most important religious festival for Muslims and the judge declared that he had indisposed people of the faith and even caused 53 people at one time to leave the mosque during a prayer, a “blasphemous act” which should be punished “according to Allah’s will.”
The judge was lenient, have admitted many experts in the region, as he gave the convicted man the choice of being beheaded or stoned to death.
“The law is clear, he should be stoned to death, beheading is a very light sentence and saves him from any suffering,” protested the government prosecutor.
Deputy District Public Prosecutor (DDPP) Syed Anees Shah told reporters the accused got a “very light sentence” for the crime of blasphemy.
Muhammad Al-Wahabi, 33, suffers from chronic flatulence, “a rare medical condition” he argued in his self-defense, as no lawyer would take his case.
“No lawyer is crazy enough to bet his career on this issue. If his client his condemned, as in this case, the lawyer would face prosecution and possibly the same faith as his client” admits legal expert Andrew Jones, a Middle Eastern law expert.
Al-Wahabi did not contest the judgment and even said the judgment was fair and that he hoped Allah would be gracious enough to pardon his blasphemous actions.
Al-Wahabi also admitted that he put a tampon in his rectum several times in a desperate attempt to mask the noise and odor.
“A disgraceful and insidious act” the judge declared, visibly disgusted.
“Muslims are not allowed to insert any objects inside their anus, not even a finger, it is forbidden by the Koran,” said the judge.
“As a judge, I must set an example for other Muslims. This is clearly unacceptable under Shariah law,” he concluded.
Al-Wahabi admitted to the judge he had failed his God, his religion, and his people and was terribly sorry for what he had done, and asked for his two wives and seven children’s mercy in court and thanked the judge for his verdict. . -Agencies