CHE Raptino
JF-Expert Member
- Mar 11, 2017
- 1,027
- 1,068
Aisee
HAHAHAHA
HAHAHAHA
HAHAHAHA
We jamaa wewe umejua kulitesa bandama langu asubuhi yote hii
ati!? kujamba jamba! dah wewe nyoko kweli HAHAHAHA
HAHAHAHA
eti usuku kucha wanakesha wanakula kama wachawi
hahahahaha
ila sio vizuri hivyo ndugu
Labda sio chini ya Serikali ya Magufuli....hata zanzibar inaelekea huko..si mnakumbuka lile tukio la yule mkristu aliekutwa anakula mchana akafunguliwa mashtaka
Wewe inawezekana unahusika na kibiti , vijana wa Sirro anzieni na huyu. Halafu Mungu hatetewi kijinga ,Mungu anajitetea mwenyewe tena kwa nguvu za radio, ngurumo ,upepo na mvua. Kasome kwenye kitabu cha kutoka utaona mambo ya Mungu wa kweli
Dini zote ni ugonjwa wa akili mkuuDini ya haki. Kujamba adhabu yake ni kifo. Haki iko wapi?
Na wewe unayeamini habari za uongo ndo una akili kweli wewe? We jamaa acha chuki za kijinga. Btw, kama wao wanakula usiku wewe kinakusumbua nini?!Kwani uwongo ni upi? Unaweza kuniambia wanakulaga saangapi kama si usiku kucha? Wanaokulaga usiku ni nani kama si wanga?
Kujamba ni tusi ama ni nini? Siyo jitihada za mwili wa mtu kujikimu na majanga yatokanayo na mfumo wa chakula kutokuwa sawa? Sasa kama wanataka watu wasijambe, wamwambie allah arekebishe kama alivyorekebisha alivyomkosesha Muhamad kunena aya za shetani!.
Huo ndio ukweli. Hawa jamaa vichwani hazimo!.
Kuna ushahidi gani?
HahahaKujamba huku kwa kawaida au ni kujamba kwingine?
ila someni vizuri vizuri
mnawahi ku comment kabla
ya kusoma anatuhumiwa zaidi ya mara 17 katika misikiti 6 tofauti tena ile ya maksudi kabisa anawakosesha watu swala
adhab tosha kabisa
Kafunga turbo kama zile za mafuso - priiiiiiii cha! priiiiii chah! Ha ha ha!Nafikiri jamaa tatizo lake hatumii sailensa!
nyie mnataka kula mchana kama nguruwe mbona sisi hatusemi mnakula kula hovyo hovyoHAHAHAHA
HAHAHAHA
HAHAHAHA
We jamaa wewe umejua kulitesa bandama langu asubuhi yote hii
ati!? kujamba jamba! dah wewe nyoko kweli HAHAHAHA
HAHAHAHA
eti usuku kucha wanakesha wanakula kama wachawi
hahahahaha
ila sio vizuri hivyo ndugu
Na hilo angalizo hapo juu wanalitoa kwenye kila pageWNDR assumes however all responsibility for the satirical nature of its articles and for the fictional nature of their content. All characters appearing in the articles in this website – even those based on real people – are entirely fictional and any resemblance between them and any persons, living, dead, or undead is purely a miracle.
Acha kukashifu imani za watu kwa habari za uongo wewe!!!Uislam na roho mbaya,ugaidi,akili finyu ni ndugu wa damu kabisa ingawa wenyewe wanajitahidi kupinga.
Kafunga turbo kama zile za mafuso - priiiiiiii cha! priiiiii chah! Ha ha ha!

Ndugu yangu; huwenda hilo tatizo alilo nalo ndilo lililomfanya asikose kuhudhuria ibada. Kimsingi huyu ndiye has muumini mzuri sana wa dini yake - kutafuta neema za Mungu unapokuwa na tatizo; pengine katika shida aliyokuwa nayo aliamini uponyaji ataupata kutoka kwa Mungu wake hivyo kutokosa ibada. Sijui kama hao majaji waliliangalia japo kwa mtazamo huu kabla ya kufukia uamuzi wao! Nyumba ya ibada ndipo mahali pa kwanza pa kukimbilia unapokumbwa na janga lakini kwa wenzetu hawa wa Pakistan imekuwa kinyume. Njooni kwangu ninyi msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha ....Basi kajitakia mwenyewe habari inasema alishafukuzwa mara 17 from 6 different mosques yeye bado akaenda tu