Ahadi!

ankal bana, si unajua mimi ni faifu star! hivi wewe unazani uporoto na CPU wanaweza kuwa wapinzani wangu kweli?, halaf anaomba razi kwa kiingereza aisee

Ile dozi yako ya kuchemsha majani ya mpapai na kisha kuoga nazan bado hujaimaliza . . .
 
Utapewaje kitu usichoweza kukijali na kukitunza?

Ngoja Mfalme anipime mwenyewe halafu uone kama atanipa au la!
Kesho akiwashukia wanafiki na mashambenga wote utajionea live ananipa kifaa cha viwango vya paradiso
 
Hahaaa mapenzi yana vimbwanga usipime. Hujawahi kusikia mpenzi akimwambia mwenzie kuwa hajawahi kupenda kama anavyompenda huyo mwenzie?
Kila relation mpya lazima mtu atajikuta amesema hivyo japo wakigombana atamwambia afadhali ya fulani alikuwa hafanyi hivi lol
 
Ngoja Mfalme anipime mwenyewe halafu uone kama atanipa au la!
Kesho akiwashukia wanafiki na mashambenga wote utajionea live ananipa kifaa cha viwango vya paradiso
CPU hiyo ni Zanzibar Modern Taarab au Jahazai Modern Taarab
 
Ngoja Mfalme anipime mwenyewe halafu uone kama atanipa au la!
Kesho akiwashukia wanafiki na mashambenga wote utajionea live ananipa kifaa cha viwango vya paradiso
Embu acha mbwembwe njoo ndani nikubembeleze!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom