CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Akimwaga mboga we mwaga ugali...ndicho tunachofundishwa ungaLTD!
Kama mafunzo yako hivyo, basi huko UngaLtd kumeingiliwa . . . .
Lazima mvuliwe magamba sugu
Akimwaga mboga we mwaga ugali...ndicho tunachofundishwa ungaLTD!
PROMISEThat was not a promise, that was real and fact! who am I to judge my feelings? at least for Lily Flower.
Khaaa kumbe Kloro ndio style yakeKuswear ni kujivundika na magunzi gunia 1
ankal bana, si unajua mimi ni faifu star! hivi wewe unazani uporoto na CPU wanaweza kuwa wapinzani wangu kweli?, halaf anaomba razi kwa kiingereza aiseeAhaaaa ahaaaa kumbe anaomba radhi kwa kunako PM
Kati wapi???
The FinestLily Flower
ankal bana, si unajua mimi ni faifu star! hivi wewe unazani uporoto na CPU wanaweza kuwa wapinzani wangu kweli?, halaf anaomba razi kwa kiingereza aisee
Dah!!! Sio vizuri ujueThe Finest
Utapewaje kitu usichoweza kukijali na kukitunza?
Honey bunny umepata???Njoo basi univue gamba!
Kila relation mpya lazima mtu atajikuta amesema hivyo japo wakigombana atamwambia afadhali ya fulani alikuwa hafanyi hivi lolHahaaa mapenzi yana vimbwanga usipime. Hujawahi kusikia mpenzi akimwambia mwenzie kuwa hajawahi kupenda kama anavyompenda huyo mwenzie?
Dah!!! Sio vizuri ujue
CPU hiyo ni Zanzibar Modern Taarab au Jahazai Modern TaarabNgoja Mfalme anipime mwenyewe halafu uone kama atanipa au la!
Kesho akiwashukia wanafiki na mashambenga wote utajionea live ananipa kifaa cha viwango vya paradiso
Hahaha bora uwe bubu and eveything will work out well.I swear to JF for u I will not.
Kila relation mpya lazima mtu atajikuta amesema hivyo japo wakigombana atamwambia afadhali ya fulani alikuwa hafanyi hivi lol
Je? Faithful devotion unayo???Yaan bora umesema kiranja
mrembo katuchunia kinoma
Ataweza kufika UNGA LTD kweliEmbu acha mbwembwe njoo ndani nikubembeleze!