Ahadi!

Hongera sana Kloro....tatizo hutimizi ahadi...u mjanja na mwema sana hapo kwa keyboard ila kwenye suala la kutimiza ahadi na baddhi ya majukumu....sijui niseme...sithemi mimi:whoo:

Aiseeeeeee!
Kumbe hii dawa nayo ni mapengo matupu?
 
Ahadi nyingi hutoka pale mtu anapokuwa hajitambui kifikra ila akiamini promising good and expensive matters ni njia pekee ya kumblind anayemuahidi na kumnasa kirahisi mwisho wa siku akishakaa akatafakari anagundua hawezi anajenga hoja "PROMISE DOES'NT MEAN DELIVERY, YOU CAN SEE THERE ARE CLOUDS BUT IT DOES'NT RAIN" this means ahadi nyingi hutolewa pale mtu anapokuwa na roho ya tamaa na ulafi wa keki iliyopo mbele yake.

Nimekusoma paka mchafu...
 
mwambie jamaa yako arejeshe raba yangu bana, si tayari keshakutoa out, sasa huu mpango wa kuazima raba siku moja halaf anakaa nayo mwezi sio mzuri bana.
Embu tulia..umemuona dearest wangu hapo ndo unajifanya unajua sana kuongea!
 
mwambie jamaa yako arejeshe raba yangu bana, si tayari keshakutoa out, sasa huu mpango wa kuazima raba siku moja halaf anakaa nayo mwezi sio mzuri bana.

1.jpg


Raba zako hizo hapo, bado mpyaaaaaaaaaaaa
Tusidaiane
 
Heheheh
Yaan umejitanguliza rum kabla ya unaemuiba?
Halafu unamtumia vimeseji eti aje rum ya London ktk Gesti ya hapo kwenu tandika mabatin???!!!

Utajuaje kama simu yake ninayo???
La la la la . . .
Dogo kweli huna heshima Lizzy sio mwanamke wa kupelekwa guest house,halafu inaonesha we ni mtaalamu wakutembelea sehemu hizi lol!
 
  • Thanks
Reactions: CPU
yaani of all the men...usiwe na hofu na Uporoto....hata wakilala siku tatu hakuna lolote....namfahamu sana!
Pasaka njema Michelle mi huwa sina tatizo na comments zako kwakuwa Liz anafahamu ugomvi wetu nawe ulianzia wapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom