Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
dio hivo tena bado napata maushaurikwenye depression?
dio hivo tena bado napata maushaurikwenye depression?
na ukiendelea kuquote mapost yangu kama hivi utazidi kuimprove, hongera haupewi mpaka uhame tandale kwanzaumefanya kazi nzuri Kloro katka improvement yangu....hongera sana.....nipe nami hongera!
hivi ilianza lini? ile sredi ya kule ni ya kutafuta ushauri , hii ya hapa nataka kukupatia tiba sasa.dio hivo tena bado napata maushauri
yaani of all the men...usiwe na hofu na Uporoto....hata wakilala siku tatu hakuna lolote....namfahamu sana!
Hongera sana Kloro....tatizo hutimizi ahadi...u mjanja na mwema sana hapo kwa keyboard ila kwenye suala la kutimiza ahadi na baddhi ya majukumu....sijui niseme...sithemi mimi:whoo:
unakaa jirani na michelle nini?Aiseeeeeee!
Kumbe hii dawa nayo ni mapengo matupu?
Ahadi nyingi hutoka pale mtu anapokuwa hajitambui kifikra ila akiamini promising good and expensive matters ni njia pekee ya kumblind anayemuahidi na kumnasa kirahisi mwisho wa siku akishakaa akatafakari anagundua hawezi anajenga hoja "PROMISE DOES'NT MEAN DELIVERY, YOU CAN SEE THERE ARE CLOUDS BUT IT DOES'NT RAIN" this means ahadi nyingi hutolewa pale mtu anapokuwa na roho ya tamaa na ulafi wa keki iliyopo mbele yake.
mwambie jamaa yako arejeshe raba yangu bana, si tayari keshakutoa out, sasa huu mpango wa kuazima raba siku moja halaf anakaa nayo mwezi sio mzuri bana.Yatakushinda!
Embu tulia..umemuona dearest wangu hapo ndo unajifanya unajua sana kuongea!mwambie jamaa yako arejeshe raba yangu bana, si tayari keshakutoa out, sasa huu mpango wa kuazima raba siku moja halaf anakaa nayo mwezi sio mzuri bana.
mwambie jamaa yako arejeshe raba yangu bana, si tayari keshakutoa out, sasa huu mpango wa kuazima raba siku moja halaf anakaa nayo mwezi sio mzuri bana.
Dogo kweli huna heshima Lizzy sio mwanamke wa kupelekwa guest house,halafu inaonesha we ni mtaalamu wakutembelea sehemu hizi lol!Heheheh
Yaan umejitanguliza rum kabla ya unaemuiba?
Halafu unamtumia vimeseji eti aje rum ya London ktk Gesti ya hapo kwenu tandika mabatin???!!!
Utajuaje kama simu yake ninayo???
La la la la . . .
Pasaka njema Michelle mi huwa sina tatizo na comments zako kwakuwa Liz anafahamu ugomvi wetu nawe ulianzia wapi.yaani of all the men...usiwe na hofu na Uporoto....hata wakilala siku tatu hakuna lolote....namfahamu sana!