klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
mbona unajiamini sana bana?, nitataja jina la gesti ujue?Hehehe inawezekana juzi sikua ila leo mpaka mwenyewe najikubali!
mbona unajiamini sana bana?, nitataja jina la gesti ujue?Hehehe inawezekana juzi sikua ila leo mpaka mwenyewe najikubali!
Maneno mengi tunaambiana ila huwa kuyatekeleza inakuwa shida.hasa hawa wenzetu wakiwa wanataka uhusiano watasema mpaka wanaweza hamisha milima
Kabisa hivi desh desh leo yuko wapi maana naona hapatikani sijui kaenda wapiYou better not be like that!
heheh ankal, Pasaka hautakiwi kutongoza straight, unatakiwa uzunguke zunguke kidogo ili kuonesha kwamba hauzarau imani.Ankal aiseee
dah! wimbo mzuri kweli. Kaimba nani?Ntaachaje kujiamini wakati naaminika?
Excitement inawapelekesha ehh??Kuna haja ya kumuuliza mtu aliyoahidi mara tatu tatu!
Ndio maana nakupenda you are always there for me and for desh deshMwenyewe nlikua nimejificha tangu juzi...ntamtafuta baadae nimwambie unamdesh desh!
hii mada si inahusiana na wimbo au? hivi hayo maneno ya ufunguzi wa sredi si ni wimbo huo umenidediketia mimi au?Lizzy binti Sun!Haya rudi kwenye mada..
Sijawahi kumwahidi mtu kitu nnachojua siwezi kutimiza...especially mambo ya mapenzi!
Ankal kwani wewe uko wapi? Njoo Palestina tuko na YUDA ana hela mbaya keshamuuza YESU tunakula nyama choma+divai si PETRO, LUKA, YOHANA wala MARKO wote wako chicha ile mbaya PETRO hafai eti anacheza kiduku.heheh ankal, Pasaka hautakiwi kutongoza straight, unatakiwa uzunguke zunguke kidogo ili kuonesha kwamba hauzarau imani.
hehehe hii post akiiona maxshimba utakoma?, na jamaa laptop yake imeibiwa nini ? naona haonekani?. Dah turudi kwenye mada bana kabla waifu wangu Lizzy hajakasirika halaf akaninyima unyumba na holidei hii.Ankal kwani wewe uko wapi? Njoo Palestina tuko na YUDA ana hela mbaya keshamuuza YESU tunakula nyama choma+divai si PETRO, LUKA, YOHANA wala MARKO wote wako chicha ile mbaya PETRO hafai eti anacheza kiduku.
Weee si umesema hii holidei yote utakuwa unatubuhehehe hii post akiiona maxshimba utakoma?, na jamaa laptop yake imeibiwa nini ? naona haonekani?. Dah turudi kwenye mada bana kabla waifu wangu Lizzy hajakasirika halaf akaninyima unyumba na holidei hii.