Ahadi za CCM Igunga!

LordJustice1

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
2,263
530
Nilimsikia Dr John Pombe Magufuli akiapa kwa jina la Mungu kwamba atajenga Daraja kule Igunga! Je, ni ahadi gani nyingine walizoahidiwa wana Igunga na Magamba ili zikishindwa kutekelezwa CCM (Magamba) kama ilivyo kawaida yao ipewe adhabu ya kufa mtu 2015 ipate kura kama walizopata CUF kwenye uchaguzi mdogo?
 
but hawa wa2 2mewachoka ahadi zao milele ni za uongo. Wavue hadi magamba ya moyo bado ni waongo 2.
 
Tunashukuru sana kwa ahadi zao na ni chachu kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja hapa Igunga
Magamba Oyeeeeeeeeeeee! "fake it until you get it"
 
Nilimsikia Dr John Pombe Magufuli akiapa kwa jina la Mungu kwamba atajenga Daraja kule Igunga! Je, ni ahadi gani nyingine walizoahidiwa wana Igunga na Magamba ili zikishindwa kutekelezwa CCM (Magamba) kama ilivyo kawaida yao ipewe adhabu ya kufa mtu 2015 ipate kura kama walizopata CUF kwenye uchaguzi mdogo?

  • Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa
  • Bandari ya nchi kavu kubwa katika Afrika.
  • Chuo Kikuu Kipya Kikubwa katika Tanzania: Rostam Aziz University.
  • Flyovers kupunguza msongomano wa magari yatakayotumia Bandari, Kiwanja cha ndege na RAU.
  • Maji Kila chumba, nyumba zote za Igunga.
  • Mfumo wa kuzoa maji taka na kuzisindika kuzifanya Mbolea.
  • Mvua za uhakika misimu mitatu kwa mwaka.
  • Kiwanda Cha simenti kitachouza mfuko TZS 500 au chini ya hapo.
  • Tutahakikisha tunapeleka branch ya Discotheque maarufu ya Dar.
  • Bahari, tuatachimba mfereji (canal) kutokea pwani mpaka Igunga.
  • Kilimo Cha Kisasa cha kutumia mbolea ya maji taka.
  • Makao Makuu Ya CCM ya Mkoa Ghorofa 50
  • Shopping Mall mbili, moja Mashariki ya Igunga Moja Mgharibi
  • Barabara za lami la za kisasa kama za Karatu.
  • Hoteli za Kitalii
  • Tutajenga na Mlima Kilimanjaro mpya uwe kivutio cha watalii.
Itaendelea....
 
  • Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa
  • Bandari ya nchi kavu kubwa katika Afrika.
  • Chuo Kikuu Kipya Kikubwa katika Tanzania: Rostam Aziz University.
  • Flyovers kupunguza msongomano wa magari yatakayotumia Bandari, Kiwanja cha ndege na RAU.
  • Maji Kila chumba, nyumba zote za Igunga.
  • Mfumo wa kuzoa maji taka na kuzisindika kuzifanya Mbolea.
  • Mvua za uhakika misimu mitatu kwa mwaka.
  • Kiwanda Cha simenti kitachouza mfuko TZS 500 au chini ya hapo.
  • Tutahakikisha tunapeleka branch ya Discotheque maarufu ya Dar.
  • Bahari, tuatachimba mfereji (canal) kutokea pwani mpaka Igunga.
  • Kilimo Cha Kisasa cha kutumia mbolea ya maji taka.
  • Makao Makuu Ya CCM ya Mkoa Ghorofa 50
  • Shopping Mall mbili, moja Mashariki ya Igunga Moja Mgharibi
  • Barabara za lami la za kisasa kama za Karatu.
  • Hoteli za Kitalii
  • Tutajenga na Mlima Kilimanjaro mpya uwe kivutio cha watalii.
Itaendelea....


"Show forgiveness, speak for justice and avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)
..............??????
 
Back
Top Bottom