LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Nilimsikia Dr John Pombe Magufuli akiapa kwa jina la Mungu kwamba atajenga Daraja kule Igunga! Je, ni ahadi gani nyingine walizoahidiwa wana Igunga na Magamba ili zikishindwa kutekelezwa CCM (Magamba) kama ilivyo kawaida yao ipewe adhabu ya kufa mtu 2015 ipate kura kama walizopata CUF kwenye uchaguzi mdogo?